Buzi Nene
Senior Member
- Feb 10, 2020
- 139
- 310
Dah leo nimekuwa na siku mbaya sana,kuna michepuko yangu nilikuwa ninaipenda sana,leo imenipiga chini bila huruma,yani nimevurugwa sina raha kabisa, wife alinikaribisha chakula nimemzingua sana bila sababu naona kama ananifokea,yani nimeumia sana, natamani hata nimshirikishe wife anishauri, ila haya mapenzi yanauma jamani,msiwaseme vibaya wanaojinyonga!