emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,237
Duniani watu tunatofautiana priorities, ila ikiwa unaamua kuoa mke ndio priority yako inapokuja swala la mahusiano unless kama ulilazimishwa, inafikia point unajutia michepuko na una mke?? Tulia chini sana mkuu, mpende mke wako au muache usimtese mkuuDah leo nimekuwa na siku mbaya sana,kuna michepuko yangu nilikuwa ninaipenda sana,leo imenipiga chini bila huruma,yani nimevurugwa sina raha kabisa, wife alinikaribisha chakula nimemzingua sana bila sababu naona kama ananifokea,yani nimeumia sana, natamani hata nimshirikishe wife anishauri, ila haya mapenzi yanauma jamani,msiwaseme vibaya wanaojinyonga!