ithangaledi
Member
- Jun 4, 2011
- 84
- 57
wakuu nimetupiwa kichanga nyumbani na kuambiwa ni cha kwangu lakini cha kushangaza ni kuwa toka nikutane na mama yake na tar alizozaliwa ni miezi 12 au 13.
pamoja na sifa kibao kuwa nimefanana na mtoto lakini interval za tar nlizokutana na mama yake na tar ya kuzaliwa vinanipa mashaka sana.
je inawezekana mtoto kuzaliwa na miezi 12? maana hili suala linanipa shida sana hadi usingizi nakosa.
naomba mawazo yenu hasa wale waliosomea mambo ya utabibu.
nawasilisha.
pamoja na sifa kibao kuwa nimefanana na mtoto lakini interval za tar nlizokutana na mama yake na tar ya kuzaliwa vinanipa mashaka sana.
je inawezekana mtoto kuzaliwa na miezi 12? maana hili suala linanipa shida sana hadi usingizi nakosa.
naomba mawazo yenu hasa wale waliosomea mambo ya utabibu.
nawasilisha.