Nimepigwa changa la macho au?

ithangaledi

Member
Jun 4, 2011
84
57
wakuu nimetupiwa kichanga nyumbani na kuambiwa ni cha kwangu lakini cha kushangaza ni kuwa toka nikutane na mama yake na tar alizozaliwa ni miezi 12 au 13.

pamoja na sifa kibao kuwa nimefanana na mtoto lakini interval za tar nlizokutana na mama yake na tar ya kuzaliwa vinanipa mashaka sana.

je inawezekana mtoto kuzaliwa na miezi 12? maana hili suala linanipa shida sana hadi usingizi nakosa.

naomba mawazo yenu hasa wale waliosomea mambo ya utabibu.

nawasilisha.
 
Umeambiwa ukileta uzi wa hivi ndo utachangiwa sana sio!!!!
haya, ngoja waje wale walio kwenye frastration watakusaidia sana hapa.
 
wakuu nimetupiwa kichanga nyumbani na kuambiwa ni cha kwangu lakini cha kushangaza ni kuwa toka nikutane na mama yake na tar alizozaliwa ni miezi 12 au 13.

pamoja na sifa kibao kuwa nimefanana na mtoto lakini interval za tar nlizokutana na mama yake na tar ya kuzaliwa vinanipa mashaka sana.

je inawezekana mtoto kuzaliwa na miezi 12? maana hili suala linanipa shida sana hadi usingizi nakosa.

naomba mawazo yenu hasa wale waliosomea mambo ya utabibu.

nawasilisha.

Pole sana jikaze upambane
 
Hata sie wenye frustration leo hatutaki.
Si DNA inahusu?

Umeambiwa ukileta uzi wa hivi ndo utachangiwa sana sio!!!!
haya, ngoja waje wale walio kwenye frastration watakusaidia sana hapa.
 
ithangaledi,kindly refer uzi wa Firstlady1 ambao unatembea muda huu titled:
mmu ya wiki hii du!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom