Kuna mmoja alinipigia ananiambia mtoto wako kaanguka shule anatokwa dam puani Mimi ni dereva wa shule nimepewa jukum la kumleta hosptal.
Nimefika hosptali hapa wametaka 50000 waaanze huduma tuma fasta kwa no hiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kidogo niingie mkenge