Nimepiga hizi picha.

Zangu hizi

IMG_20180401_144346.jpg
IMG_20180401_144334.jpg
IMG_20180401_144100.jpg
IMG_20180401_143850.jpg
IMG_20180401_143815.jpg
IMG_20180401_143756.jpg
IMG_20180401_143850.jpg
IMG_20180401_144013.jpg
 
Tanzania tuna vivutio vingi vya utalii. I bet haya ndiyo maporomoko marefu zaidi Tanzania ila huwezi kuyasikia.
View attachment 729617
braza Malcom Lumumba hivi kalambo falls kisheria yapo Tanzania au Zambia.

Ninavyofahamu mimi haya maporomoko yako upande wa Tanzania katika kijiji cha Kapozwa Wilayani Kalambo ingawa ukiwa upande wa Zambia unayaona pia
Kinachotugharimu Tanzania ni kuchelewa kujenga miundombinu ingawa kwa sasa ngazi za kushuka hadi chini zinajengwa na zimefikia hatua nzuri.
Wenzetu upande wa pili walishajenga ngazi siku nyingi hivyo kufanya urahisi wa watalii kushuka hadi chini....Na hotel nzuri upande wa pili zipo za kutosha.
 
Ninavyofahamu mimi haya maporomoko yako upande wa Tanzania katika kijiji cha Kapozwa Wilayani Kalambo ingawa ukiwa upande wa Zambia unayaona pia
Kinachotugharimu Tanzania ni kuchelewa kujenga miundombinu ingawa kwa sasa ngazi za kushuka hadi chini zinajengwa na zimefikia hatua nzuri.
Wenzetu upande wa pili walishajenga ngazi siku nyingi hivyo kufanya urahisi wa watalii kushuka hadi chini....Na hotel nzuri upande wa pili zipo za kutosha.
Tumebase sana kwenye utalii wa mbuga. Hayo kwenye picha ni marefu na yanapendeza sana. tungeyatangaza tusingokosa mia mbili mia tatu. Nahisi wakiyapima parts zake ni marefu kuliko Kalambo yanayosoma 230+
 
Back
Top Bottom