Si unajua hela ya kuBETI kichwa ikipoa na hela imeisha anarud tena kwenye vibanda vya muhindiHahaha mbona uko Kasi Sana mkuu, tulia Kwanza kichwa kipoe
Hongera sana. Kuwa makini wekeza. Wakati naishi mivumoni, jirani yangu alikula milion kama 10 sportpesa na baada ya mwezi akala tena milion 29. Hii pesa ilimchanganya akaendelea kubet na kazi akaacha.Habarini wapendwa, Namshukuru Mungu kwenye hii shughuli yetu ya kubeti nimebahatika kula million 5 naomba mnisaidie kunipa mawazo ya biashara niifanyie biashara gani ya kunipa faida chapchap mimi nipo Chato, Geita
🤣🤣🤣🤣Punguza makasiriko ipo siku na wewe utapata usinionee wivu kama unataka odds njoo pm nkupe odds tatu za uhakikaWeka hapa huo mkeka ulioshinda million 5,vinginevyo mods futeni huu ujinga ,huyu anatupotezea muda hapa
Fungua account benki saving iweke umo alafu kaa kimya umwombe Mungu na uchanganue vizuri kile unataka. Usituulize sisi tusikupe ushauri usiofaaa. Ukute naishi mbinga nauza nguo za msimu we uko arusha mtaani kwenu kuku bei ghali na watu wanataka.Habarini wapendwa, Namshukuru Mungu kwenye hii shughuli yetu ya kubeti nimebahatika kula million 5 naomba mnisaidie kunipa mawazo ya biashara niifanyie biashara gani ya kunipa faida chapchap mimi nipo Chato, Geita
Fungua account benki saving iweke umo alafu kaa kimya umwombe Mungu na uchanganue vizuri kile unataka. Usituulize sisi tusikupe ushauri usiofaaa. Ukute naishi mbinga nauza nguo za msimu we uko arusha mtaani kwenu kuku bei ghali na watu wanataka.Habarini wapendwa, Namshukuru Mungu kwenye hii shughuli yetu ya kubeti nimebahatika kula million 5 naomba mnisaidie kunipa mawazo ya biashara niifanyie biashara gani ya kunipa faida chapchap mimi nipo Chato, Geita
Hahaha, King Kong kapumzika usimshitue, alitusihi tufanze kazi tusiregee, tuchape kazi , au nasema uongo ndugu zangu ?Huko Chato vipi? Mzimu wa Mzee baba hauwasumbui?
Umerudi Katoro mkuu?Njoo katoro tufanye biashara mkuu.