Nimepewa password ya Facebook na girlfriend kuingia messenger sikuamini Macho yangu

Mimi Mpenzi wangu ndiye niliyemuunga Facebook hivyo kila kitu kinachoendelea nakifahamu. Nilichojifunza ni kuwa wanawake wanatongozwa sana. Unaweza kuta ana SMS 50 na zote ni kutongozwa huku wengine wakimuahidi pesa ndefu. Ni ishu ya kawaida hasa kwa wanaume wenye roho ngumu kama Joka
 
Back
Top Bottom