Likasu
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 843
- 405
Boflo wewe ni mwanamke bwana,hizi thread za hivi unatuwekea kutupotosha malengo tu tusikujue,...tushakustukia.
Pengine mwenzetu ni SEMENYA.
Boflo wewe ni mwanamke bwana,hizi thread za hivi unatuwekea kutupotosha malengo tu tusikujue,...tushakustukia.
mkuu grocery asubuhi....................aaah nimekumbuka kumbe wanauza na supuAsubuhi leo wakati naenda grocery
Bolfo Mkuu punguza hasira, msamehe mwenzio.
Jamani naomba tuwe wastaarabu jamani, hata kama unamjibu mtu jaribu ku-revise unavyomjibu mwenzako ili asikwazike. Pia Tuwe tunavumiliana hata mtu akikujibu vibaya mwambie awe anatumia lugha nzuri au vipi mpotezee.
Tuwe na amani jamani
NgumiJiwe lugha uliyotumia ilikuwa ya kumkandia mwenzio badala ya kumshauri, ina maudhi fulani. Pengine ungetumia lugha kama yangu angekuelewa.
Mwanzo alikuja kishoga sana
Ok... Huyu demu ni jiran..na haya maeneo ninayokaa ni upanga huku majirani hawasalimiani.... Sasa huyu demu alikuwa chuo miaka 3 toka amerudi ana kama mwezi 1... Ndio maana
nikashangaa kusalimiwa na kupewa namba
kwani jamaa ni shoga au?
Wana Jf kuna jirani yangu hapa
Mtaa wa maweni ni bomba sana,
midume karibu yote ina mmezea mate,na ni msomi ametoka chuo karibuni,
Asubuhi leo wakati naenda grocery nikakutana nae akanisalimia halafu
akaniambia chukua namba yangu, mpaka sasa hivi nina maswali kibao
Siamini kupewa namba na ninaomba
ushauri wenu hivi kupewa namba ya simu ni ishara ya nini?
Ok... Huyu demu ni jiran..na haya maeneo ninayokaa ni upanga huku majirani hawasalimiani.... Sasa huyu demu alikuwa chuo miaka 3 toka amerudi ana kama mwezi 1... Ndio maana
nikashangaa kusalimiwa na kupewa namba