Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?
Mkuu ushauri wako mbovuMpige chini.
headache hao kaka! Wadada waliofika chuo 95% wametumika to the very highest point....! Then about game mshkuru mungu kuna uwezekano anakuepusha na majanga! Dont trust a woman even if she is dead.
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?
rafiki yake aliniambia wanaume wanamwogopa,hilo swala linanichanganya kwa nini aogopwe na wanaume?
dont trust a woman even if she is dead.
dont trust a woman even if she is dead.
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?
miezi miwili hajakupa mbunye tuu...ah huyo hafai tena mwanabora ujisepe zako tuu. alafu wanawake wasomi zero kwnye mapenzi....chukua wa level yako mwaya. huyo baadae hachelewi kusema oh u dnt stiimulate me intellectually.....ndio unabwagwa hapo.
wewe kweli ni mzee wa maombi haya ya Mungu au ya shetani?maneno yako hayaelekei
Ya nini kuuma usiloweza kutafuna??
wanapenda ati kuwa in the reference list zao!ahahahahhahaa msomi wamtaka huku wahofia jikofia la graduu kwenye fremu sebuleni?kutwa wanawake wasomi wasomi, hapo hapo hahawaachi.