Nimependana na mwanamke msomi

Nimependana na mwanamke msomi

Mvumilivu hula mbivu

Acha kabisa maneno haya> hii ilikuwa zamani sio sasa ww!

Hivi hujui misemo ya leo..........
1. Aliye juu mfuate huko huko
2. Mvumilivu atangija mpaka kifo kimpate

Weeeeee tena acha kabisa maneno hayo utaniudhi sasa hivi
 
sasa si bora wewe umeishia sec, mim mpenzi wangu aliishia la 5 ila ana good life na mm nimefika chuo na nna mpango wa kuendelea, na ninampenda si utani., usomi sio tatizo, tatizo ni kupendana, kama mnapendana pasipo kuangalia hali zenu za elimu haina tatizo kabisa, anakupenda bwana, kuwa mpole utapata tu, wew unadhani angekua hajasoma ndo ungepata kwa haraka???:confused2:



Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?
 
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?

Isije ikawa ana degree moja ndo usomi unaokubabaisha
 
miez miwili tu unataka mzigo...upo ki ngono kimahusiano?ww kha ebu angalia malengo yako nae..acha ngono
 
Kama huna nyimbo za kisomi hutamuweza msomi...hata kwenye 6x6 utapigwa maswali ya kisomi,jaribu kupitia madesa yake.
 
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?

kuwa mpole si alisema ndiyo yeye mwenyewe ..Mimi demu wangu Ana masters na sasa yuko school of law Mimi Nina ka bachelor kangu hata sina hofu
 
Back
Top Bottom