Nimependana na mwanamke msomi

Nimependana na mwanamke msomi

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,439
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?
 
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?

Kuwa mvumilivu ndugu, usomi sio tatizo ila huyo anakupenda acha hofu.

 
Kuwa mvumilivu ndugu, usomi sio tatizo ila huyo anakupenda acha hofu.


rafiki yake aliniambia wanaume wanamwogopa,hilo swala linanichanganya kwa nini aogopwe na wanaume?
 
Kuna mtu alisema wanawake wasomi ni mzigo na uzi huo upo humu ndani. Sitaki kuungana wala kukataa juu ya suala hilo lakini akili kumkichwa ukizubaa umeachwa feli.

Mwisho miezi miwili bado ni midogo sana kuanza kulalama kuwa umenyimwa penzi, kaeni mjadili na mjue afya zenu kabisa ili mfike muafaka.
 
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?
endelea naye na anavyokubania siku akikupa ujipange maana huenda ukawajibika kufanya kazi ya ziada
 
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?
We naye acha ujinga sasa mqanamke msomi ndo ana nn cha ziada we vipi hebu futa huu uzi bana. Mbona watu kibbao wameoa wasomi
 
  • Thanks
Reactions: jyn
Headache hao kaka! Wadada waliofika chuo 95% wametumika to the very highest point....! Then about game mshkuru Mungu kuna uwezekano anakuepusha na majanga! DONT TRUST A WOMAN EVEN IF SHE IS DEAD.
 
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?

aiseeeeeee babaangu kweli wewe ujakwenda shule umejidhilisha kabisa,, miezi miwili 2 unataka akupe mchezo waache wasomi wawapende wasomi wenzao
 
rafiki yake aliniambia wanaume wanamwogopa,hilo swala linanichanganya kwa nini aogopwe na wanaume?
Hawajiamini na wanaume wengi siku hizi wapenda mteremko. Yaani tuonane leo na kufanya mapenzi leo leo. Hata hivyo wewe ni mvumilivu sana
 
mbinu hii itakusaidia
okeeeey haya twende,,

0. ingia bafuni.
1. shusha trauza kidogo.
2. weka mafuta kiganjani.
3. sugua huku unaibana.
4. endelea kusugua huku unamuwaza msomi.
5. mwaga wadhungu.
6. oga.
7. kalale upumzike.
fanya hivi mara tatu kwa wiki mpaka msomi atakaposema haya 'nimerara nirenga sasa'
 
Kama anakunyima jua anazo sababu za msingi ambazo zinampelekea akufanyie hivyo, huenda akawa hataki kufanya hilo tendo mpaka aingie ndani ya ndoa au anataka mkapime afya zenu au wewe unamforce kiac ambacho kinampelekea kukutilia hofu labda endapo atakupa hautatimiza ahadi zako ambazo ulimhaidi.

Na kuhusu kumuacha mimi naona sio swala la busara coz kukunyima tendo la ndoa sio kigezo cha kumuacha,
hta kama amesoma sana hutakiwi kuogopa kwa7bu hata wasomi wanayomapenzi yadhati.

Kuhusu swala la rafiki yake kukuambia kwamba wanaume wanamuogopa nadhani sio kweli kwani mbona wewe umempenda na humuogopi?
AU WEWE SIO MWANAUME?????
 
Kama anakunyima jua anazo sababu za msingi ambazo zinampelekea akufanyie hivyo, huenda akawa hataki kufanya hilo tendo mpaka aingie ndani ya ndoa au anataka mkapime afya zenu au wewe unamforce kiac ambacho kinampelekea kukutilia hofu labda endapo atakupa hautatimiza ahadi zako ambazo ulimhaidi.

Na kuhusu kumuacha mimi naona sio swala la busara coz kukunyima tendo la ndoa sio kigezo cha kumuacha,
hta kama amesoma sana hutakiwi kuogopa kwa7bu hata wasomi wanayomapenzi yadhati.

Kuhusu swala la rafiki yake kukuambia kwamba wanaume wanamuogopa nadhani sio kweli kwani mbona wewe umempenda na humuogopi?
AU WEWE SIO MWANAUME?????

Mkuu umeongea point sana,nashukuru kwa ushauri wako,leo tunatoka out nilitaka nikache,,thank you
 
Nifanye nini mimi sikwenda chuo niliishia sec lakini nafanya shughuli zangu na maisha yangu ni mazuri,ila sasa huyu mwanamke niliye naye ni msomi sana kuna wakati naona kama tukioana hatutafika mbali,halafu ananinyima mchezo wa kitandani toka tumeanza uhusiano ni mwezi wa pili hajawi kunipa,ana maana gani??kila siku naomba ila ameniambia hataki haraka,niendelee naye au nimpige chini?



Kupendana na mwanamke msomi sioni kama kuna tatizo lolote ndugu Episodes acha uoga na ujiamini ili mradi wote mmependana kwa dhati. Suala la kuwa hataki kukupa penzi sio kweli,nadhani huyo dada anajaribu kupima uvumilivu wako na kama kweli unampenda kwa dhati.Na kama kweli unampenda na una future naye huwezi ukakimbilia ktk kufanya mapenzi kwa sababu hicho sio kipaumbele cha kwanza ktk mahusiano,mahusiano yenye muelekeo hayawezi kuweka mbele mapenzi,so kuwa mvumilivu kama kweli una muhitaji!!!!!!!
 
Mkuu, sidhani kama miezi miwili tu inaweza kuwa kipimo sahihi, jitahidi sana kumjifunza mwenzako vizuri.

Pili, kukimbilia kukutana naye kimwili sio jambo jema sana kwa afya yako na utu wako pia, nikimaanisha kadiri unavyojirahisisha kwa tamaa zamwili wako, ndivyo pia unaji’expose’ kwenye matatizo mengi sana. Yafaa kwanza ujue afya yako vizuri then ujue na yake pia, ambayo si chini ya miezi mitatu kupata majibu sahihi. Kukimbilia hio mambo inakupunguzia asilimia kubwa sana ya trust kwa mwenzio kwa kujua au pasipo kujua, wengi wanajiuliza; yaani miezi miwili tu ananisumbua kiasi hiki? Ikitokea nimeumwa? au kipindi cha ujauzito, au baada ya kujifungua, mwenzangu atanivumilia kweli kwa uaminifu? Je akisafiri/nikisafiri kwa muda kuna subira kweli apo? N.k, n.k.

Kaka jipe muda, pia kutokusoma sana kusikunyime kusimama kama mwanaume, Ndugu yetu mmoja alioa Mke form four yeye la saba (yeye ni fundi ujenzi), akamwendeleza mkewe akawa mwl wa primary, akasoma 5&6 akaenda mlimani kwa degree ya kwanza na ya pili, Japo mwanamke alianza dharau za apa na pale lakini Jamaa alisimama ngangari kwenye nafasi yake kama mwanaume na kusimamia majukumu yake kama mwanaume, hadi leo wanaishi kwa amani na upendo. ‘kikubwa zingatia amani ya moyo wako.

''heri kula mboga za mwituni ukiwa na amani kuliko kula pamoja na wafalme bila ya amani’’ Kila la kheri kaka
 
Mkuu umeongea point sana,nashukuru kwa ushauri wako,leo tunatoka out nilitaka nikache,,thank you

Nimefurahi kusikia hivyo, nakutakia maisha mema na huyo mpenzi wako na MUNGU awasaidie kwenye mahusiano yenu mpaka mfunge pingu za maisha salama salmin.
 
Usimwogope sana dogo, inawezekana ana degree ya chupi. Hebu mtafute DC wa Korogwe akupe somo la degree za chupi.
 
Back
Top Bottom