ITEGAMATWI JF-Expert Member Jan 26, 2012 5,310 4,040 Aug 30, 2012 #23 Mimi nimependa zaidi abiria wa hicho kibajaji!!
Kaitampunu JF-Expert Member Nov 24, 2011 1,994 774 Aug 30, 2012 #24 zomba said: Click to expand... Kumbe ndo bajaj hizi alizomaanisha dhaifu(JK) kwenye kampeni! na alisema atazisambaza nchi nzima, tutapona kweli?
zomba said: Click to expand... Kumbe ndo bajaj hizi alizomaanisha dhaifu(JK) kwenye kampeni! na alisema atazisambaza nchi nzima, tutapona kweli?
Sikonge JF-Expert Member Jan 19, 2008 11,550 6,062 Aug 30, 2012 #25 Zomba vipi tena? Naona umeanza KUOKOKA na kuingia dini ya BOFLO. Bofloooooo........................
Kaitampunu JF-Expert Member Nov 24, 2011 1,994 774 Aug 30, 2012 #26 Neno bajaji naona lina maana pana kuliko maelezo.
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Aug 30, 2012 #27 Gamaha said: Aaai zomba kibajaji chote kimezibwa lol Click to expand... Na kweli huyo siyo mchina?
Z ZeMarcopolo Platinum Member May 11, 2008 14,017 7,220 Aug 30, 2012 #29 Hicho ni kibajaji au LIBAJAJI...
Steven Robert Masatu JF-Expert Member Aug 7, 2009 2,458 1,821 Aug 30, 2012 #30 zomba said: Click to expand... hahahahaaaaa zomba bhana, jana umechafua hali ya hewa kule kwa jukwaa la siasa leo umeibukia huku. Au ni matangazo baada ya habari? salute mkuu!!!!!
zomba said: Click to expand... hahahahaaaaa zomba bhana, jana umechafua hali ya hewa kule kwa jukwaa la siasa leo umeibukia huku. Au ni matangazo baada ya habari? salute mkuu!!!!!
tomoko Senior Member May 2, 2012 106 28 Aug 30, 2012 #31 dada zetu wakiona tu hicho "kibajaji" wataiga!! watu watatafutana
zomba JF-Expert Member Nov 27, 2007 17,240 3,910 Aug 30, 2012 Thread starter #34 TheOne said: hahahahaaaaa zomba bhana, jana umechafua hali ya hewa kule kwa jukwaa la siasa leo umeibukia huku. Au ni matangazo baada ya habari? salute mkuu!!!!! Click to expand... Inspired by Boflo Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
TheOne said: hahahahaaaaa zomba bhana, jana umechafua hali ya hewa kule kwa jukwaa la siasa leo umeibukia huku. Au ni matangazo baada ya habari? salute mkuu!!!!! Click to expand... Inspired by Boflo
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,142 13,216 Aug 31, 2012 #35 Kibajaji kinaleta Upepo..............
F fmapugilo Member Feb 16, 2009 15 2 Aug 31, 2012 #36 Zomba kama Bofloo, hata mimi nimeipenda Bajaji hiyo, ningeipeleka Makandana Tukuyu ikafanyiwe kazi!!