Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
So great...
The akili kubwaziKatika hotuba yake Mwenyekiti wa Chadema amewatambulisha wabunge wa bunge la wananchi. Hi concept nimependa Sana. Hivyo inabidi chadema waifanyie kazi na kuanzisha hata vikao vyao.
1. Litakuwa na uwezo wa kujadili Mambo yanayo wagusa wananchi moja kwa moja.
2. Litakuwa na uwezo wa kukosoa serikali kwa uwazi.
3. Litakuwa na uwezo wa kuleta bajeti mbadala.
4. Litakuwa na uwezo wa kuishauri serikali kwa uwazi.
Nawapongeza chadema kwa ubunifu huu.
He a giant manMbowe is always ahead... a Think tank!
Kuanzia namfahamu miaka ya '90. Mwamba ni yule yule. Hajauza utu wake!
Bunge la mwendazake na MaheraLinaweza kufunika bunge lileeee
HONGERA SANA CHADEMA KWA BUNGE LA WANANCHIKatika hotuba yake Mwenyekiti wa Chadema amewatambulisha wabunge wa bunge la wananchi. Hi concept nimependa Sana. Hivyo inabidi chadema waifanyie kazi na kuanzisha hata vikao vyao.
1. Litakuwa na uwezo wa kujadili Mambo yanayo wagusa wananchi moja kwa moja.
2. Litakuwa na uwezo wa kukosoa serikali kwa uwazi.
3. Litakuwa na uwezo wa kuleta bajeti mbadala.
4. Litakuwa na uwezo wa kuishauri serikali kwa uwazi.
Nawapongeza chadema kwa ubunifu huu.
Huko siko kuchanganyikiwa ndugu Robert S Gulenga....!!Wamechanganyikiwa
Asante sana MkuuHuko siko kuchanganyikiwa ndugu Robert S Gulenga....!!
Sema hivi, "..mimi Robert S Gulenga , ni mjinga sijaelewa hawa watu wana maana gani naomba nitolewe ujinga wangu..." ili ueleweshwe nini maana ya political move ya namna hiyo...
Ngoja tukueleweshe..
Iko hivi. Ukifunga mlango huu wa kupitia mwenzako, tambua kabisa kuwa, upo mlango mwingine usioujua wewe utafunguka na atapitia hapo na kwenda zake...!!
Mfano siku hizi kuna kitu kinaitwa "Clubhouses" huko twitter, Instagram, FB, YouTube etc. Wapinzani wa CCM wanatumia fursa hiyo kufanya siasa bomozi (destructive politics) dhidi ya CCM na serikali yake balaa huku wenyewe hao CCM wakiwa wamelala huku tumaini la uhai na uwepo wao ukiwa mikononi mwa polisi na UWT pekee...
Na Clubhouses hizi zinazoendesha mijadala moto ya kisiasa zinapendwa na watu wa kada zote za kijamii vijana kwa wazee na zimekuwa vyanzo vikubwa vya habari kwa vyombo vya habari vingi hususani vile vinazoitwa "mainstreams" i.e magazeti, radio na TV stations..
Aidha, hizi clubhouse za mijadala motomoto ya siasa na utawala wa nchi yetu zimekuwa vyanzo vya ajira kwa vijana wengi na zinawapatia fedha....
Najua utauliza kivipi zinatoa ajira kwa vijana..?
Iko hivi: Vijana wengine wamefungua YouTube channels na hutumia channels zao kuposti mijadala hii na kupata subscribers na viewers wa kutosha na wao kuingiza pesa..
Na mtu anayependwa kutazamwa na kusikilizwa sana ni Rais wa mioyo ya Watanzania Tundu Lissu. Na huyu jamaa hupiga nyundo za kufa mtu dhidi ya CCM na serikali yao...
Na bahati kwa CCM ni kubwa, baadhi hutoa siri za chama na serikali na kuwapatia wapinzani hususani CHADEMA na kisha kuzimwaga kupitia mijadala ndani ya Clubhouses hizi...
Sasa kuna hiki kitu kinachoitwa "BUNGE LA WANANCHI". Nakuhakikishia, This is the creativity of high standards toka kwa CHADEMA na litafuatiliwa kuliko Bunge la ma-CCM huko Dodoma...!!
Na kile mlichodhani mmekizuia kupitia mikutano ya hadhara ya kisiasa, sasa kinakwenda kuanza kufanyika bila hata chenga ya macho...
The only alternative option CCM waliyonayo sasa kuzuia damage inayokuja mbele ni KUZIMA INTERNET NCHI NZIMA na mkifanya hivyo, mtathibitisha rasmi UJINGA na UWOGA wenu mlionao...!!
Hopefully, umeelewa. Na kama una swali, niulize...
Hili bunge litakuwa maarufu kuliko hata la dodoma.