mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Nenda kadai zawadi yako umpelekee mzazi wako!!!
hauna point hapa si usinge comment.
Ungekua na point UNGETOA.
well, i can now confirm kwamba ule mzigo wa malawi ulifika na uliuanika kabla ya kuutumia:rant:
tunaishi nyumba moja, sio kusema nilifunga kiguu na nyumba. of course my wife wangu hayupo na wakati natoa zawadi, wote wawili walikuwepo. Anyway nimejua ni aina gani ya mtu niliyekuwa naishi naye. Huenda jamaa hajiaminiNdyoko ulichemka.kwanza ukitaka toa zawad kwa mama wakti amejifungu lazma umtaarifu mme.ukienda na zawadi bas wote wawepo.huna mke?ungeenda na mkeo basi ndiye anayepeleka zawad nepi,vitenge na vyakula lain.yawezekana licha ya kukaa nao nyumba moja,wewe ulijenga mazoea meng na mkewe.mme tayari anakusukia kumpenda mkewe. Kuna msemo mmoja kuwa mme au mke anayemuonea wivu mwenzie anampenda sana!kumbuka ulienda kwao bila mawasliano nao na ghafla mme akakukuta.usirudie
Elezea vizuri. Habari yako iko nusu. Elezea huo muda mliokaa nao mahusiano yalikuwaje
miaka miwili na nusu na sisi wawili ndiyo tulikuwa wapangaji wawili pekee. Tulikwa tunashirikiana ktk mengi. Kuna wakati nilivyokuwa naenda field vijijini alikuwa akinipa hela kumnunulia mkaa, alikuwa anaomba hata mahitaji ya ndani kwangu na mengine mengi tulikuwa tukishirikiana. Hivi inakuwaje watu wazima hamuelewi nnaposema jirani mpangaji mwenzangu, au mnaishi mwezini nini? Sioni ni nini usichoelewa hapa!
Ungenunua zawadi ya kitoto i.e. blanketi, diapers, toys, etc. na kuwapa wazazi wote kwa pamoja.
Kumpa mke kitenge si busara hata kama hukuwa na nia mbaya.
Nenda kadai zawadi yako umpelekee mzazi wako!!!
miaka miwili na nusu na sisi wawili ndiyo tulikuwa wapangaji wawili pekee. Tulikwa tunashirikiana ktk mengi. Kuna wakati nilivyokuwa naenda field vijijini alikuwa akinipa hela kumnunulia mkaa, alikuwa anaomba hata mahitaji ya ndani kwangu na mengine mengi tulikuwa tukishirikiana. Hivi inakuwaje watu wazima hamuelewi nnaposema jirani mpangaji mwenzangu, au mnaishi mwezini nini? Sioni ni nini usichoelewa hapa!
Unadhani asingechoma moto hata hivyo. mi nadhani kwa akili hii, jamaa ni mjinga sana na nadhani hata hivyo angechoma tu moto. Ndo maana watu wengine huwa hawatoi lift kwa wake za watu maana unaweza ukawa umembeba mke wa mtu halafu mwenye mali anawaona mnampita huko kwao mume anaenda kuwasha moto. sema tu wanawake huwa hawasemi wanapokutwa na ujinga huu