Mdigokhan
JF-Expert Member
- May 2, 2022
- 843
- 1,923
Nitakufa kwa mawazo,
Mimi ni kijana wa miaka 31 nipo single, nimepanga nyumba ya Uani, nyumba kubwa kapanga kaka mmoja ana mke na Mtoto mmoja, kwahiyo tupo wapangaji wawil tu tunaish DSM.
Huyu mpangaji mwenzangu ni Dereva wa magari ya mkoani.
Mke wa huyu kaka tumezoeana sana na amekuwa ananifariji sana ingawa hatujawahi fanya mapenzi, kuna vitu huwa namfanyia ambavyo mme wake hawezi kumfanyia na isitoshe nimemzoea sana na aliniahidi kitakachotutenganisha ni kifo.
Sasa mwezi ujao mme wake anahamia Mwanza, nimechanganyikiwa kabisa sjui nitumie njia gani Ili mume wake ahame amwache mke wake hapa Dsm mana nimemzoea sana japo sio mpenzi wangu.
Mimi ni kijana wa miaka 31 nipo single, nimepanga nyumba ya Uani, nyumba kubwa kapanga kaka mmoja ana mke na Mtoto mmoja, kwahiyo tupo wapangaji wawil tu tunaish DSM.
Huyu mpangaji mwenzangu ni Dereva wa magari ya mkoani.
Mke wa huyu kaka tumezoeana sana na amekuwa ananifariji sana ingawa hatujawahi fanya mapenzi, kuna vitu huwa namfanyia ambavyo mme wake hawezi kumfanyia na isitoshe nimemzoea sana na aliniahidi kitakachotutenganisha ni kifo.
Sasa mwezi ujao mme wake anahamia Mwanza, nimechanganyikiwa kabisa sjui nitumie njia gani Ili mume wake ahame amwache mke wake hapa Dsm mana nimemzoea sana japo sio mpenzi wangu.