jacobian
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 417
- 158
Baada ya kuhangaika tangu tarehe 4/2/2015 , Mungu kajibu maombi yangu nimevipata vyeti , kuanzia form four adi chuo, nilikuwa nawaza sana , acha nivitunze ninaye jua thamani yake, nimevisotea mno!
Jamani Ku laminate vyeti ni muhimu, vibaka walivitupa vimenyeshewaaa, lakini msamalia mwema kavikuta salamaaa!
Jamani Ku laminate vyeti ni muhimu, vibaka walivitupa vimenyeshewaaa, lakini msamalia mwema kavikuta salamaaa!