Julius Malema Jr
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 653
- 155
Epuka kutembea na vyeti kama hakuna ulazma si vzur ikbd tembea na photocopy
Mkuu hongera sana mkuu,ikiwezekana nenda msikitini au kanisani ukatoe shukrani,Maana ukipoteza vyeti kuja kuvipata ni usumbufu wa hali ya juu sana.