hii kaliRoho inaniuma sana,nimeathirika kijinga sana
Yani niliomba sigara kwa demu flani club kupiga mistari kadhaa kumbe yule demu ni muathirika na alikuwa na michubuko mdomoni
Asa na mimi nilikuwa na michubuko kidogo nilivyovuta ile sigara inaonekana virusi nilipata kwa njia iyo
Naumia sana.
Kitabibu virusi ndani ya mate ni inactive. Na virusi havienei through oral cavity kwasababu root hiyo haina multiplication nodes.....Roho inaniuma sana,nimeathirika kijinga sana
Yani niliomba sigara kwa demu flani club kupiga mistari kadhaa kumbe yule demu ni muathirika na alikuwa na michubuko mdomoni
Asa na mimi nilikuwa na michubuko kidogo nilivyovuta ile sigara inaonekana virusi nilipata kwa njia iyo
Naumia sana.
Ungana na watanzania asilimia 63 wanaotumia ARV.
Hukuwahi kusikia mhuni mmoja kutoka wizara fulani alisema asilimia 68 ya watanzania wanatumia ARV.Mkuu hii percentage ni kweli?
Hukuwahi kusikia mhuni mmoja kutoka wizara fulani alisema asilimia 68 ya watanzania wanatumia ARV.
Hiyo.Wamejazana vichaa huko Mkuu.