Nimepata sababu ya kutoacha Pombe...

Hivi Asprin na Teamo hizi bear or something yenye kilevi haina madhara kwenye afya ya binadamu kama mimi???
Nadhani unamaanisha beer hapo. Hapa mama hatuzungumzii madhara, tunazungumzia dhambi! Hata nyama ina madhara kwa binadamu, kwa hiyo tuache kula?
 
Mbona mnajichanganya na vifungu vinajieleza wazi? Ni nani awezaye kutengua maneno ya biblia na kutengeneza yanayoendana na imani yake? Kwa ufupi "Son of God" alikuwa anapiga misosi na ulabu na hiyo ndiyo maana ya bold na red za Asprin. Kula na tax collectors na sinners si ndiyo hawa tunakutana nao bar wanagonga round na milupo pia inakuwepo maeneo hayo, kwani mimi na wewe siyo wadhambi? Suala ni je baada ya kunywa utachukua milupo? Utajifunza njia za kifisadi ili ujenge heshima bar nk. nk.

Mkuu Asprin thanks! Issue imekaa vizuri hasa siku kama hii ya ijumaa umenikumbusha kudu the needful responsibly
 
....Alaaa, umejuaje? hili nalo lipo kwenye bibilia, kwamba wakati ule kulikuwa hakuna vinywaji vingine isipokuwa juisi ambayo waliita divai?

(Tatizo ni akili za kushikiwa na mitume na maaskofu vihiyo)
 

Ndio maana huwezi kuwa jaji kwa kuwa huna sifa hizo. Sijawahi kujiita great thinker na wala sipendi mtu aniite hivyo kwa kuwa kiukweli mimi siyo great thinker kama wewe. Inawezekana kweli kiingereza kidogo sikijui, after all siyo lugha ya mama yangu na wala kujua kiingereza siyo kigezo cha kuwa na maarifa. Lakini hebu nitafsirie "drunkard" ni nini kwa kiswahili?
 

Lutu ndiyo alinyweshwa pombe na binti zake nao wakalala naye...lakini haimaanishi kuwa Kunywa pombe kwake kipindi kile ilikuwa halali. ilikuwa ni dhambi vilevile ndo maana yote hayo yalimkuta. hata nuhu alikunywa pombe akalewa akaweka instrument zake wazi mtoto wake Hamu akaziona akacheka...hata mtoto wake hamu akalaaniwa badaye....ni kwasababu ya Pombe..haimaanishi kuwa pombe ilikuwa imehalalishwa kipindi hicho....ni dhambi, na si kwamba hao watu walikuwa malaika, walikuwa ni watu wa Mungu lakini walikuwa wanafanya makosa vilevile

unajua Bible inasema, zamani Mungu alijifanya mjinga na alikuwa anaachilia tu uovu kutendeka, lakini kwasasa Mungu anawaamuru watu wote watubu na kumfuata yeye, wasipofanya hivyo ameandaa siku atakayowahukumu wote. hivyo usiweke evidence za agano la kale ambalo Mungu alikuwa anajifanya mjinga na sasahivi baada ya kuleta wokovu kupitia mwanae mpendwa Yesu Kristo na Roho wake Mtakatifu kutuongoza...hakuna cha kujitetea kwasasa. zamani watu hawakuwa na Yesu, na hawakuwa na Roho kama sasa..hivyo Mungu alikuwa anachukuliana nao hivyohivyo. na enzi ile imebadilika kwa Kuja kwa Yesu kwaajili ya ukombozi wako mkuu wangu.
 
Hapa unawasemea wanywaji wa biere au unatoa mtazamo wako ambao hakuna anayeweza kuuthibitisha isipokuwa Mungu?
 
Hivi wale jamaa wa Alshabab wa somalia - waasi wa serikali ya Somalia (kama ipo) nao wanakunywa sana pombe eehh!! au maasi unayongelea ni asprin kumuona Eliza mzuri baada ya bia ya saba na valuu mbili?

ha ha ha ha ha u made my day ...
 
Mkuu nimekutendea haki kwenye hii yuziful posti. Ukipita maeneo ya Zero Pub utakuta mbili za baridi zinakusubiri..

....Alaaa, umejuaje? hili nalo lipo kwenye bibilia, kwamba wakati ule kulikuwa hakuna vinywaji vingine isipokuwa juisi ambayo waliita divai?

(Tatizo ni akili za kushikiwa na mitume na maaskofu vihiyo)
Hahahaha! ndio maana nimewapiga chini nikaamua kusoma biblia mwenyewe. Sidanganyiki!
 

watu mmedata si kidogo
 
sasa wandugu pombe zenyewe inategemea ni POMBE GANI.....................

adhawaisi kuna ile mambo ya mwasiti SIO KISA POMBE.......!
 

Kabla ya kuondoa kibanzi.........ondoa boliti........ (siendelei). "Siyo kila asimaye bwana bwana atauona ufalme wa Mungu". Ni nani huyu awezaye kuhukumu? Mbona Yesu mwenyewe alikutana na wadhambi kibao lakini hakuwahukumu? mbona mafundisho yote ya Yesu sijaona ukali huu na hukumu hizi za kibinadamu?
 
Si umeona? Same applies to ulabu. Kama nimepiga bia zangu mbili nikajirudia zangu home kucheza na watoto kuna ubaya wowote hapo na Mungu?
...Niliwahi kumuuliza mtu mmoja aliyejifanya kuwa ni mwokovu...nikienda bar nikigonga serengeti zangu 4 then huyooo na-drive kwenda nyumbani sijatukana mtu, sijatongoza eliza wala elizabetty, nikiwa home nakula raha na kuendelea na life kama kawaida kuna dhambi gani ya kutumia pombe hapo?? Tatizo wengi wao wanakariri tu kuwa pombe ni dhambi lakini hawana justification yoyote ya maana.
 

Mkuu nilikuwa nataka nikuweke sawa manake ulisema divai ilikuwa haileweshi. Sasa ilikuwaje Lutu na Nuhu walilewa kwa kunywa divai?
 
Hili huwa hawalisemi kabisa. Watakuambia ukinywa moja lazima uongeze nyingine...
 

Thanks Mkuu... ni vizuri kuendelea kuchambua hoja kuliko hao wanaokuja na hukumu tayari mikobani in the name of great thinking

hebu ngoja nielewe mada kwanza
 
Kile kibatani cha kukagua kimegoma.
SENKI YUU!! uwezo wako nimeukubali katika post hii!
 

Hii kitu imekuja saa ngapi hapa??

Watu wengine wanajitahidi sana kuhalalisha dhambi...

Ngoja mi nikaandae misa ya asubuhi, naweza nikawa nabishana na watu ambao tayari walishaanza kuone maluweluwe hapa...
 
Nadhani unamaanisha beer hapo. Hapa mama hatuzungumzii madhara, tunazungumzia dhambi! Hata nyama ina madhara kwa binadamu, kwa hiyo tuache kula?

sawa kabisa kwa sababu Topic ni ya beer namaanisha hivyo mheshimiwa ..
 
Hii kitu imekuja saa ngapi hapa??

Watu wengine wanajitahidi sana kuhalalisha dhambi...

Ngoja mi nikaandae misa ya asubuhi, naweza nikawa nabishana na watu ambao tayari walishaanza kuone maluweluwe hapa...
Ya nini malumbano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…