Nimepata mume asanteni

hatujawai kufanya mapenzi mimi ndo nilimuacha ni kijana mzuri
 
Kiukweli hongera mana nilikuwa nakuonea huruma.
Ila pia hukukata tamaa japo wapo waliokukejeli,wengine kuleta utani na wengine kukupa moyo.
Kweli atafutaye hakosi
Mungu awabariki.
 
Juzi tu na leo unaye?

Kila la kheri mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…