Nimepata funzo kubwa sana

Nimepata funzo kubwa sana

Hivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.

Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.

Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!

Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni
Umeanza kukojoa kitandani amka ww
 
nani aliyekwambia tunatoka nje kwa sababu hatuwapendi wake zetu?
 
“Ukiona unaanza kumpenda mkeo pekee ujue umekaribia kufa”. Sijui nani alisema.

Uchungu aone mwingine halafu mateso upate wewe, usipochepuka anachepuka yeye.... shubamit zako.
 
Utasahau tu, na utacheat tu tena na tena. .

Anyway. Unafikiri hatujui kuwa Wamama wanapitia magumu?.

Kwangu mimi Hiyo sio sababu ya kucheat au kutocheat.

Kucheat Ni tabia.
 
Hivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.

Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.

Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!

Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni
Inaonekana kwasasa wewe bado ni Mvulana, umri ukifika na ukawa Mwanaume utakuwa na mtazamo uliokomaa zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well said brother. Kubdl negativity inawezekn. Sema tu wabongo ustaarabu swala gumu
 
  • Thanks
Reactions: THT
Hivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.

Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.

Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!

Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni
Hiyo ni shock tu mzee. Sababu itayokufanya usiluke nje ya ndoa ni mahusiano mazuri na Mungu, hiyo nyingine unajidanganya.

Kumbuka hili neno, baada ya muda utasahau utamkolomea kama kawaida, utakula mzigo nje kama kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah.....
Ndo maana ake,

BINAFSI nampenda Sana Mama watoto wangu.

Ila mechi za ugenini nacheza mara kwa mara.

Na hajawahi Hata kunistukia, ila Hata ikitokea kanifumania.

Ntambembeleza na kuomba msamaha Sana, ili mradi tu tusiachane.

WANAUME TUMEUMBIWA TAMAA.

Ni ngumu kushindana na NATURE

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom