madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,498
- 2,925
Ni haki yako kumuhurumia mkeo kwa kila jambo lakin suala la kuapia hutomsaliti ni mapema mnoo mkuuWa tatu sasa mkuu kwanini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni haki yako kumuhurumia mkeo kwa kila jambo lakin suala la kuapia hutomsaliti ni mapema mnoo mkuuWa tatu sasa mkuu kwanini?
Umeanza kukojoa kitandani amka wwHivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.
Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.
Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!
Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni
Sio hilo unalolifikiria mkuu, mi siwazi hayo mambo



.Inaonekana kwasasa wewe bado ni Mvulana, umri ukifika na ukawa Mwanaume utakuwa na mtazamo uliokomaa zaidi.Hivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.
Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.
Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!
Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni
Hiyo ni shock tu mzee. Sababu itayokufanya usiluke nje ya ndoa ni mahusiano mazuri na Mungu, hiyo nyingine unajidanganya.Hivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.
Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.
Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!
Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni
Jamaa sahv Yuko kwenye emotions ndo maana but akirecover mbona atarud kule kuleUtasahau tu, na utacheat tu tena na tena..
Anyway. Unafikiri hatujui kuwa Wamama wanapitia magumu?.
Kwangu mimi Hiyo sio sababu ya kucheat au kutocheat.
Kucheat Ni tabia.
Ndo maana ake,Daah.....
Hahah usimtishe mtoa mada.Hiyo ya kuteseka kuzaa inakuuma vipi kwan ye anakuhurumia ukitafuta kwa jasho ? Ndo walivyoumbwa kila mtu atabeba msalaba wake
We tayar ushawekwa kwenye chupa
Sent using Jamii Forums mobile app