Nimepata funzo kubwa sana

Nimepata funzo kubwa sana

Hawatakuelewa watakubeza sana. Lakini ww fanya kwa wema ili uje kupata thawabu yako mbele za Mungu
 
89c7d3596de88cd224dc6237bba38530.jpeg

Mtoa mada kubali kataa, ila usiombe yakukute!

ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ
 
Hilo jukumu mmejipa wenyewe plus na utandawazi ..dunia inaenda kasi hicho kitu ni unkwepabo

Still bado nasisitiza hayo ni maumbile yenu jinsi mlivyoumbwa sioni sababu ya kuifanya big deal sana maana kweli mnatafuta ila tunao hustle sana ni sisi na hatujawahi jionea huruma

Sent using Jamii Forums mobile app
ahahaha vijana wengi wanalishwa siku hizi.
 
Hivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.

Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.

Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!

Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni
Unamwaka wa ngapi mkuu kwenye ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa kulitambua hilo mkuu...Kuna watu wamejazana hapa kuwalisha wenzao sumu, achana nao.
 
toka nimuoe sijamsaliti and so naendelea kutunza agano langu
Ngoja mmalize honeymoon yenu hiyo ya ndoa, halafu ndio utakuja kujua kwanini taasis ya ndoa kinaanza cheti mitihani baadae
Miaka 3 michache kuendelea kutumikia kiapo chako
 
kuna yule aliyekula mtoto kimasihara wakisafirisha mwili wakiwa njian, wakati wa kuzika anaweza mdinyo tu.
Ukienda msibani halafu ukasikia marehemu amekufa kwa ngoma utajiapiza kuwa hutofanya uzinzi tena. Ila binadamu tumeumbiwa kusahau, siku 3 tu nyingi unasahau viapo vyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.

Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.

Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!

Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni
umeoa single mother, fala sana wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom