Nimepata funzo kubwa sana

Nimepata funzo kubwa sana

Wanawake wanakwambia, akishageuzia mgongo tu ile wodi ya kinamama yaani lebor ward, tayari anakuwa anatamani kuzaa tena. Means anasahau mateso yote.

Hivo ndivyo muumba alivyowaumba.

Sasa wewe kiherehere chako kwenda kuchungulia huko sijui unataka uvumbue nini wakati wanawake hawana huo uchuro..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo jukumu mmejipa wenyewe plus na utandawazi ..dunia inaenda kasi hicho kitu ni unkwepabo

Still bado nasisitiza hayo ni maumbile yenu jinsi mlivyoumbwa sioni sababu ya kuifanya big deal sana maana kweli mnatafuta ila tunao hustle sana ni sisi na hatujawahi jionea huruma
Siku hizi ata wanawake wanatafuta kwa jasho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jambo jema sana kuacha usaliti.

Jiweke karibu sana na Mungu maana shetani anakesha kuona hutimizi mema uliyojiwekea.
Hivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.

Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.

Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!

Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.

Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.

Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!

Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni

ukitaka kujiua au kufa mapema waonee huruma wanawake...bro vip ukiambiwa mtoto sio wako naushajenga fikra zahuruma pole kaka presha inakukaribia kabisa yani
 
Hivi karibuni mke wangu alikua mjamzito, na kwa sababu ni mimba ya kwanza kwa utaratibu ilitakiwa akajifungulie nyumbani kwetu yaani kwa wazazi wangu. Kwakua sikupenda awe mbali na mm sikutamani kabisa aende so nilikaa nae hapa kwangu.

Baada ya mda mke wangu kajifungua na bahati mbaya kajifungua kwa upasuaji. Nimeshuhudia mateso aliyopitia mke wangu, moyo wangu uliuma kwa jinsi tunavyowatreat hawa wamama hata kama ni single mothers.

Jamani wanawake wanateseka, tena unakuta mtu anamcheat mke wake katika hali hii ya ujauzito na kujifungua. mimi nimeapa kutokucheat kwa mke wangu haiwezekani yeye ateseke vile kwa ajili ya mtoto wetu afu mimi et nione nyege ni mateso sana nooooo!!!!!!!!

Wanaume wenzangu mliooa pls love your wives, na kama hujaoa heshimu hawa dada zetu.
asanteni
Kesho tu unasahau mkuu.. Ila tuwaheshimu sana kina Mama.

Hawa wanaotukanaga single mothers hapa hawajapitia hizo experieces za uzazi.
Kila mmoja atajifunza kwa wakati wake.
 
Upendo na huruma vinatenganishwa na mstari mwembamba saaaanaa!
 
Na sio kama wachepukaji wanapenda, ngoja yakukute!

ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom