hilker mhema
Member
- Mar 20, 2017
- 81
- 23
Wakuu naomba ushauri,
Nimepata daraja la III.15 kwa mchepuo wa Physics, Chemestry and Mathematics(PCM). Kwa matokeo haya je naweza kusoma shahada ya Uhandisi?
Na kama kuna uwezekano huo, je nitaweza kupata nafasi kwenye chuo gani?
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Nimepata daraja la III.15 kwa mchepuo wa Physics, Chemestry and Mathematics(PCM). Kwa matokeo haya je naweza kusoma shahada ya Uhandisi?
Na kama kuna uwezekano huo, je nitaweza kupata nafasi kwenye chuo gani?
Natanguliza shukrani zangu za dhati