othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 7,646
- 12,146
Kwa akili yako mwenyewe unaona umeficha taarifa muhimu hapo? Ndio maana wanasema ualimu ni kada ya wasiojielewa.
Kwa taarifa yako hapo kila kitu kipo wazi kuanzia jina, check no. Kituo ulichotoka na unachopelekwa.
Wakiamua kukuda faster tu unatiwa nyavuni
Kwa taarifa yako hapo kila kitu kipo wazi kuanzia jina, check no. Kituo ulichotoka na unachopelekwa.
Wakiamua kukuda faster tu unatiwa nyavuni