Kimemeta
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 181
- 234
Hujaficha taarifa yoyote hapo Mkuu.Yan kwa uwepo wa jina moja tu tayari kukubaini ni rahisi.Nahisi haupendi hiyo kazi1. Kwanini niondoe barua wakati taarifa muhimu nimezificha?
2. Ndicho kilichopo kichwani mwangu