Nimepata Barua ya uhamisho ndani ya miaka 2 kazini

Nimepata Barua ya uhamisho ndani ya miaka 2 kazini

Chimbekeha

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2018
Posts
1,193
Reaction score
2,177
Tukutane Kazini
 

Attachments

  • 20221116_004147.jpg
    20221116_004147.jpg
    56.4 KB · Views: 106
Mkuu ninakoenda si kuzuri kila ninaemuambia ananikatisha tamaa, kikubwa hakuna amani,

wanajeshi wa JWTZ muda wote na RPG na kihistoria mji huo miaka kadhaa nyuma ilishambuliwa na watu wenye itikadi kali za kidini, wamewapa jina la alshababi...waliua,kuharibu mali na kuteka watu hadi leo hawajulikani walipo.
Fanya maamuzi Kama mwanaume.
Jibu Ni ndiyo/ hapana
 
Habari JF....
Mimi ni mwalimu x katika shule x hapa nchini Tanzania,
Huu ni uhamisho wangu wa kwanza ila mawazo yangu yananiambia kama hakuna pesa ya uhamisho nisikubali hata iweje...
Je una lipi la kunishauri?
Karibuni....View attachment 2418094

1. Ondoa hiyo barua mkuu.
2. Karipoti kituo chako kipya kisha rudi kusubiri malipo ya uhamisho
 
Wewe hujipendi au utoto umekuzidi. Unatundika barua ya uhamisho ya kikazi mtandaoni. Inawezekana umaehamishwa peke yako. Watashindwa kukutambua. Iondoe kwa usalama wako kazini.
Niliandika kitu nikafuta,

Hiyo barua umegundua nini?,
Taarifa za umuhimu zote zimefichwa, na uhamisho hauko kama wewe unavyowaza mkuu.
 
Mkuu ninakoenda si kuzuri kila ninaemuambia ananikatisha tamaa, kikubwa hakuna amani,

wanajeshi wa JWTZ muda wote na RPG na kihistoria mji huo miaka kadhaa nyuma ilishambuliwa na watu wenye itikadi kali za kidini, wamewapa jina la alshababi...waliua,kuharibu mali na kuteka watu hadi leo hawajulikani walipo.
Naona umehamishiwa kibiti
 
Vijana siku hizi bana, unafikiri hatujui Joseph Mhagama yupo jiji gani? Hiyo pesa ya uhamisho ulipwa niite baba, ni kosa kubwa sana kuweka nyaraka za serikali mtandaoni. Joseph Mhagama wasiliana na kule ulikompeleka huyu education officer (maana hampendi kuitwa walimu) ili achukuliwe hatua kali na iwe fundisho.
 
Habari JF....
Mimi ni mwalimu x katika shule x hapa nchini Tanzania,
Huu ni uhamisho wangu wa kwanza ila mawazo yangu yananiambia kama hakuna pesa ya uhamisho nisikubali hata iweje...
Je una lipi la kunishauri?
Karibuni....View attachment 2418094
Naona unahofia kwenda KItama au Kitaya, wewe nenda tu ila hakikisha unapewa hela yote ya uhamisho. Karipoti kituo kipya kisha rudi ukatulie hapohapo huku ukisubiri hela ya uhamisho
 
Back
Top Bottom