totlo masire
JF-Expert Member
- Nov 7, 2021
- 868
- 1,404
Dodoma pakavu sana mji vumbi tupu bidhaa bei juu hta kabla ya vita vya urusi na Ukraine,




Au vipi mkuu lakini ndo mji wenye fursa kwa sasaDodoma pakavu sana mji vumbi tupu bidhaa bei juu hta kabla ya vita vya urusi na Ukraine,




Au vipi mkuu lakini ndo mji wenye fursa kwa sasaNakaziaDodoma pakavu sana mji vumbi tupu bidhaa bei juu hta kabla ya vita vya urusi na Ukraine,
Nipo dom kwa shughuli za ufugaji na kilimo.
Aisee mji wenu unakua kwa haraka.
Ila ka upepo ka baridi asubuhi kamenitingisha kidogo.
Naiona Ndoto ya Nyerere ikitimia.
Hongereni.
Pazuri kiasi chake...Nipo dom kwa shughuli za ufugaji na kilimo.
Aisee mji wenu unakua kwa haraka.
Ila ka upepo ka baridi asubuhi kamenitingisha kidogo.
Naiona Ndoto ya Nyerere ikitimia.
Hongereni.
Mpangilio wa kujenga.kati ya miji bora niliyoipenda, Dom ni mojawapo. usalama, biashara n.k. kwa mwenye akili anajua hili.