Nimepapenda Dodoma

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,675
40,928
Nipo Dodoma kwa shughuli za ufugaji na kilimo.

Aisee mji wenu unakua kwa haraka.

Ila ka upepo ka baridi asubuhi kamenitingisha kidogo.

Naiona Ndoto ya Nyerere ikitimia.

Hongereni.
 
mwananchi_official_1652359114173895.jpg
 
Of course, Dodoma inakuwa sana.

Na sasa hivi serikali ipo huko.

Bahati nzuri, Dodoma kulikuwa na CDA enzi hizo, walijitahidi sana kupima ardhi,.maeneo mengi yameepimwa.

Ila wakati Niko huko kulikuwa na kesi Mahakamani kama 1,000 za ardhi Kati ya Wananchi na CDA.
 
Dodoma pakavu sana mji vumbi tupu bidhaa bei juu hta kabla ya vita vya urusi na Ukraine,
 
Jiji tamu sana hilo hasa ukute vyuo havijafungwa yaani huduma muhimu ni uhakika 100%.
 
Back
Top Bottom