Kuna siku ulijifanya unanibishia kuhusu CPA kumbe ndo kwanza first year duh, Aya kijana hongera pia kwa kuchaguliwa udsm, shule njema asehHabari! mimi ni mdahiliwa katika chuo kikuu cha Dar es salaam,nimepangiwa mabibo hostel, nataka mtu wa kubadilishana naye mimi niende campus hall yeye aende mabibo, Asante.
Habari! mimi ni mdahiliwa katika chuo kikuu cha Dar es salaam,nimepangiwa mabibo hostel, nataka mtu wa kubadilishana naye mimi niende campus hall yeye aende mabibo, Asante.
Unajua ule ubishi ulikuwaje??? unajua sifa za mtu kuanza CPA??? au unafikiri CPA ni kufanya hadi uwe 100th year chuoni??Kuna siku ulijifanya unanibishia kuhusu CPA kumbe ndo kwanza first year duh, Aya kijana hongera pia kwa kuchaguliwa udsm, shule njema aseh
Kabisa yani, Mabibo kuzuri au anaogopa kung'anganiana shuttles, ila Campus kumepoaa arrghMabibo ndio sehemu nzur mkuu, hutojutia nakwambia
Campus kule kumepoa sanaa, mabibo napakubali sanaaKabisa yani, Mabibo kuzuri au anaogopa kung'anganiana shuttles, ila Campus kumepoaa arrgh
Pale bibo mdogo wangu kuna machimbo mbalimbali ya kula, huduma kibao zipo, tofauti na campus unakula cafe tu,Me nadhani kulipopoa ndo pazuri zaidi, LIFE STYLE matters.
Yaan na misosi ni zile cafeterias pekee,wkt Mabibo kuna options kibao za vyakula ,mtaani Kwa akina mama kifusi nkCampus kule kumepoa sanaa, mabibo napakubali sanaa
Hebu tuondolee uzwazwa hapa, kwa hiyo hapa ndio umeona ubao wa matangazo yenu ya chuo? Wanachuo wa vyuo vyote wakianza kutoa matangazo yao humu patakalika? Mkiachwa nyinyi mtasababiaha hadi macr wenu waanze kutangaza ratiba za test humu JF. Hebu tuondolee ujinga humuAkili za mavi,kwani humu hakuna first year wa UDSM au unafikiria maka......o??
Boom likichelewa mdogo wangu ndio utajua umuhimu wa hizo angle, mama punda, mama ndumbi, kwa 1000/= unakula chakula cha kutoshaMachimbo ya kula