Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,585
- 2,666
Mimi babumawe nikiwa na akili zangu timamu kabisa for the first time nimepanga kumpa manzi wangu nusu ya mshahara wa mwezi huu.
Sababu na chanzo kinachopelekea kufanya maamuzi haya ni kumuonesha jinsi gani namthamini kwani amekuwa mtu msikivu na mvumilivu kwangu hasa mara zote kwenye masuala yanayohusu hela.
Amekuwa mtu ambaye hata nikimwambia sina basi msikivu na sio mtu wa kununa, mara zote ni mtu wa kuwa na subira SO SHE DESERVE.
Sababu na chanzo kinachopelekea kufanya maamuzi haya ni kumuonesha jinsi gani namthamini kwani amekuwa mtu msikivu na mvumilivu kwangu hasa mara zote kwenye masuala yanayohusu hela.
Amekuwa mtu ambaye hata nikimwambia sina basi msikivu na sio mtu wa kununa, mara zote ni mtu wa kuwa na subira SO SHE DESERVE.