AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,033
Watanzania wenzangu leo mchana nimeoteshwa kuwa Serikali ya Vilaza itaondolewa madarakani na Chadema na kufilia mbali. Serikali itayoshika madaraka 2015 itawafunga Mafisadi wote waliolifisadi hili Taifa. Kwa hiyo wakina Kikwete na Genge lake la Mafisadi watanyea debe 2015, huku chama chao cha CCM kitaendelea kupoteza wanachama na kufilia mbali na kaburi lake litakuwa Dodoma. Hii ndoto yangu ni ya ukweli na nyie subiri za kwenu muoteshwe na mje mtupe mlichoambiwa na Mungu