Nimeota tena kuna mtu atakufa

Nimeota tena kuna mtu atakufa

Status
Not open for further replies.
We jamaa huna mke? Umri huo bado unaota tu? Pole kwa ndoto ongera albdri inafanyakaz kuna watakao kufa kweli
 
Pambana tu mwenyewe na hao
Mzma wako

Triple A
 
mshana jr picha unazoambatanisha huwa ni gumzo.
alvasi-paralizi-benultsag.jpg
 
Sidhani kama kuna cha kinyume hapo, yaani mimi nadhani roho inaacha mwili hapo
 
Hukuweza kujitahidi ukaona japo kidevu chake kama kina ndevu fupi zenye vimvimvi hivi?
 
Tupe timeline ya tukio kutokea maana kufa kwa Watu maarufu hiyo ipo kwani ni binaadamu nao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom