Nimeota tena kuna mtu atakufa

Nimeota tena kuna mtu atakufa

Status
Not open for further replies.
Hope unajua kuomba na kuziuia kitu kusitokee, ndoto huwa inakuja mapema ili uweze izuia au uitamie itokee kwa njia ya maombi,

Ndoto ni ulimwengu wa roho kwanza...
Unaanzaje kuzuia kifo cha Sizonje au Bashite kwa mfano!
 
Kwani kitu cha ajabu hicho!
Imewahi pita siku nzima Tanzania nzima hajafa mtu!!

au wanaokufa Mahospitari sio watu!!
Mada zingine hovyo tu
kutwa uchawi uchawi mmeona ndio Alama zenu humu
 
Kwani kitu cha ajabu hicho!
Imewahi pita siku nzima Tanzania nzima hajafa mtu!!

au wanaokufa Mahospitari sio watu!!
Mada zingine hovyo tu
kutwa uchawi uchawi mmeona ndio Alama zenu humu
Amesema mtu maarufu, mbona povu jingi
 
Mshana Mimi naomba niulize unaelewa nini kuhusu watoto wanaoanza kuota meno ya juu
 
f90a39315cbe412e8b6c642045c42d96.jpg
Mtu anaweza kudhani ni story ya kutunga la la hasha, sina faida kwenye hilo, hiki ni kitu kinatokea kwa mara ya tatu Leo... Mida ileile
Baada ya kuota tena Leo, nimesita mno kuweka hili bandiko lakini kuna sauti inanisisitiza niandike..
Nimeota sijaoteshwa kuwa kuna mtu atakufa..... Lakini kila nikimwangalia namuona mwisho shingoni... Sura inanipotea na nikikazana kunyanyua macho yanapata kiza kisha nashtuka
Ndoto zipo za aina nyingi
Kuna ndoto kinyume
Kuna ndoto za wazi
Kuna ndoto taarifa
Kuna ndoto maono
ed9ff9e1119cf829af794f20d510623e.jpg

Ndoto zenye tabia ya kujirudia rudia hizo ni ndoto taarifa ama maono... Watabiri wengi huzitumia sana hizi ndoto
Ndoto yangu pamoja na kujirudia lakini yaweza kuwa ndoto kinyume! Kwamba ukiota mtu atakufa basi itakuja kinyume chake kwamba kuna mtu atazaliwa
Lakini vilevile si lazima kiwe kifo cha roho kuachana na mwili, inawezekana ikawa mtu kuondolewa kwenye nafasi fulani kimadaraka ama mtu fulani kupata cheo kikubwa bila kutarajia (kumbuka vifo vingi sio jambo la kupanga)
Lakini pia inaweza kuwa na tafsiri ya mtu fulani kunusurika kifo au jambo lingine lolote baya... Ndoto nyingi hazina tafsiri moja, unachoangalia ni ile tafsiri inayoweza kuleta uhalisia zaidi kulingana na mazingira husika ya wakati huo
Ndoto ndoto hizi ukiwa muotaji sana halafu vitu unavyoota vikawa na uhalisia fulani kuna siku unaweza ukamwambia mtu WEWE UTAKUFA na akafa kweli
Kila ulalapo Mwombe sana Mungu kwa imani yako! Fanya dua, sali omba ndoto zako zitoke kwake na sio kuzimu.....
c5dd6dcdb5def787d112b832c64a6c5d.jpg
Kuna maombi ya kuvunja ndoto mbaya mkuu
 
We jamaa bado tu hujatubu mbele za mungu unaendelea na mambo ya uchawi na uganga
 
Mimi nazid kukuombea kwa mungu uote MTU kapiga mzinga Wa ukweli na sura uijue ili ikija sura nyingine tuombe msamaha
 
Hatari sana, Mungu alie hai na ajidhihirishe.

Kaka embu nawe tulia fanya meditation kufatilia hyo ndoto, utupe mrejesho.
 
Mshana kwenye ubora wa kazi yake.
Unaniacha hoi unapoambatanisha taarifa zako na picha.
 
Kwani kitu cha ajabu hicho!
Imewahi pita siku nzima Tanzania nzima hajafa mtu!!

au wanaokufa Mahospitari sio watu!!
Mada zingine hovyo tu
kutwa uchawi uchawi mmeona ndio Alama zenu humu
Duuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom