Nimeota Simba atashinda bao 3 bila

Nimeota Simba atashinda bao 3 bila

Ukute wewe ndio ulikuwa unapigwa bao hizo 3. Hebu rudi kulala tenašŸ˜‚
 
Unaacha ku
Mimi sio shabiki maandazi wala sio shabiki lia lia wa simba ila jana nimeota simba akiibuka na ushindi wa 3 bila.

Wanayanga mjiandae kwa lolote na msikariri kwamba mtaifunga simba mechi ijayo kisa mliwahi kuwafunga 5-1.
ota kuyafanya maisha yako yawe bora unaota jinsi wenzio watavyopiga pesa we ni shoga ama?
 
Utopolo ni kama demu sitaki sitaki nyingi huku anaingia gheto ukimsukumia kitandani tu anatulia, lazima akazwe
 
Mimi sio shabiki maandazi wala sio shabiki lia lia wa simba ila jana nimeota simba akiibuka na ushindi wa 3 bila.

Wanayanga mjiandae kwa lolote na msikariri kwamba mtaifunga simba mechi ijayo kisa mliwahi kuwafunga 5-1.
Sema pia umeota mwamuzi wa kati ni Mwenyekiti Mangungu.
 
Angalia tu usije ukaota unajikojolea, maana wanasemaga eti hiyo ndiyo huwa ndoto ya ukweli.
 
Kwa maisha yangu yalivyo sasa hapa nchini hiyo derby inipishe tu kwa kweli
 
Mimi sio shabiki maandazi wala sio shabiki lia lia wa simba ila jana nimeota simba akiibuka na ushindi wa 3 bila.

Wanayanga mjiandae kwa lolote na msikariri kwamba mtaifunga simba mechi ijayo kisa mliwahi kuwafunga 5-1.
Amka mkuu ushachafua chumba chote kina harufu ya poop!
 
Mimi sio shabiki maandazi wala sio shabiki lia lia wa simba ila jana nimeota simba akiibuka na ushindi wa 3 bila.

Wanayanga mjiandae kwa lolote na msikariri kwamba mtaifunga simba mechi ijayo kisa mliwahi kuwafunga 5-1.
Eti?0
 
Back
Top Bottom