Nimeota Simba atashinda bao 3 bila

Nimeota Simba atashinda bao 3 bila

man dunga

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
3,519
Reaction score
6,065
Mimi sio shabiki maandazi wala sio shabiki lia lia wa simba ila jana nimeota simba akiibuka na ushindi wa 3 bila.

Wanayanga mjiandae kwa lolote na msikariri kwamba mtaifunga simba mechi ijayo kisa mliwahi kuwafunga 5-1.
 
Mimi sio shabiki maandazi wala sio shabiki lia lia wa simba ila jana nimeota simba akiibuka na ushindi wa 3 bila.

Wanayanga mjiandae kwa lolote na msikariri kwamba mtaifunga simba mechi ijayo kisa mliwahi kuwafunga 5-1.
Sawa ota tena leo labda utaota wamefunga 10.
Ndoto ni ndoto wewe ota tu
 
Nimeota simba inashinda bao tatu.

downloadfile-244.jpg
 
Mimi sio shabiki maandazi wala sio shabiki lia lia wa simba ila jana nimeota simba akiibuka na ushindi wa 3 bila.

Wanayanga mjiandae kwa lolote na msikariri kwamba mtaifunga simba mechi ijayo kisa mliwahi kuwafunga 5-1.
amka wewe kabla hujalowesha godoro
 
Back
Top Bottom