Nimeota nimekwenda kumsalimia Kamanda Lema

Lupamba's grandson

JF-Expert Member
Jan 9, 2015
1,232
1,196
Nimeota usiku wa kuamkia leo nimeenda kumsalimia kamanda Lema. Tukaongea mengi ila mwisho aliniambia, "usione niko hapa ndani ni kwa makusudi, maana yaonekana niwekwe humu mpaka nije kupoteza sifa ya uongozi nilionao na hata kuja kutaka kugombea tena yani nikae zaidi ya miezi sita then ndio waniachie.na lengo kubwa ni kuchukua jimbo."

Nilijisikia vibaya sana then tuliagana, basi nilishtuka kuangalia saa ilikuwa yapata sa kumi alfajiri. Sikupata tena usingizi mpaka saa hizi natafakari hyo ndoto ina maana gani.
 
Nimeota usiku wa kuamkia leo nimeenda kumsalimia kamanda lema ,tukaongea mengi ila la mwisho aliloniambia ,"usione niko hapa ndani ni kwa makusudi, maana yaonekana niwekwe humu mpka nije kupoteza sifa ya uongozi nilio nao na hata kuja kutaka kugombea tena yani nikae zaidi ya miezi sita then ndio waniachie.na lengo kubwa ni kuchukua jimbo " Nilijisikia vibaya sana then tuliagana ,basi nilishtuka kuangalia saa ilikuwa yapata sa kumi alfajiri ,sikupata tena usingizi mpka saa hiz natafakari hyo ndoto inamaana gani.
Bado hamjakoma kuota?
 
Lema aliota Magu asipoacha udictator atakufa wakamfunga wewe unaota Lema amepoteza ubunge watakupa ukuu wa wilaya Uyui
 
Nimeota usiku wa kuamkia leo nimeenda kumsalimia kamanda Lema. Tukaongea mengi ila mwisho aliniambia, "usione niko hapa ndani ni kwa makusudi, maana yaonekana niwekwe humu mpaka nije kupoteza sifa ya uongozi nilionao na hata kuja kutaka kugombea tena yani nikae zaidi ya miezi sita then ndio waniachie.na lengo kubwa ni kuchukua jimbo."

Nilijisikia vibaya sana then tuliagana, basi nilishtuka kuangalia saa ilikuwa yapata sa kumi alfajiri. Sikupata tena usingizi mpaka saa hizi natafakari hyo ndoto ina maana gani.
Ebanaeeh! Bonge la njonzi'isee! mpigie cm Husein Yahaya akudadavulie.
 
Hivi tayar amehukumiwa.
Very shame maagizo toka juu.Mungu huwa analipa hapahapa Duniani kwa unyanyasaji kisa et ww ni Fulani na mwenye dhamana Fulani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom