Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Katikati ya uzingizi mzito uliosababishwa na uchovu wa siku nzima ya jana, nimeota. Na bahati nzuri au mbaya kila nikiota mara nyingi huwa yanatokea.
Nimeota kuwa kuna mti mrefu pale Arusha umekatika. Mti uliosifiwa kuwa ni wa ajabu...ukawa sehemu ya matambiko ya WanaArusha na WanaKasikazini.
Mti uliotumika kutabilia wengine maovu...nao unaenda unaenda kuanguka.
Nimeota kuwa kuna mti mrefu pale Arusha umekatika. Mti uliosifiwa kuwa ni wa ajabu...ukawa sehemu ya matambiko ya WanaArusha na WanaKasikazini.
Mti uliotumika kutabilia wengine maovu...nao unaenda unaenda kuanguka.