UshauriInaonekana huko kuzimu wamekupa hukumu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kesi yako kuonekana ilikuwa ya jinai.
Sawa lakini haifai kulidharau swala kama hiliKwani umeamka ukiwa umekuafa mkuu
Acha kulalaUshauri
WeweeeInaonekana huko kuzimu wamekupa hukumu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kesi yako kuonekana ilikuwa ya jinai.
Mimi au?Weweee
Watakunyonga na weweMimi au?
Habari wanajamii,
Usiku wa kuamkia leo nimeota kitu cha kutisha sana, nimeota kuna mtu ananinyonga shingoni kwa muda wa kama dk 1 hivi nikapambana akakimbia.
Inawezekana nimwana kilinge anajambo lake kwangu.
Msaada wenu nimuhimu dhamiri yake/yao isinipate.