Inawezekana wakatoliki wamewaonea katika hili............... Maana ndo wabaya wenu.............Eid ni leo na wenye kusali wameshasali...hao bakwata sijui wako dunia gani? boring
Inawezekana wakatoliki wamewaonea katika hili............... Maana ndo wabaya wenu.............
Nimewidhidroo .......... Ila sijaelewa vitu vifuatavyo... NAOMBA ANAYEFAHAMU ANIELEWESHEDogo mbona unataka kulianzisha!! tehe tehe.
Si ya ngoswe peke yake....Maaana kama ingekuwa leo, tungepumzika nyumbani.....Hivyo kwa upande flani ka inatuhusu vilee......Naona kama mambo ya Ngoswe????!!
NAOMBA ANAYEFAHAMU ANIELEWESHE
1. Kwa nini baadhi ya sherehe za kiislamu (kama si zote) zinategemea kuandama kwa mwezi...????
2. Nilitegemea nchi zilizo mbali sana na nyingine kijiografia ndo zipishane katika kusheherekea sikukuu hizo......... Nashangaa kwa nini ndani ya nchi moja kunatofauti ya siku nzima...????
3. Huku kutofautiana kupo tanzania tu anza dunia nzima...????[/QUOTE]
Sherehe zote za kiislamu zinategemea kuandama ka mwezi. Hiyo inatokana na kalenda ya kiislam inachua reference yyake kutokana na mzunguko wa mwezi.
Kutokana na somo la geografia tunaeleza kuwa Dunia inalizunguka jua. Na Mwezi unaizunguka dunia. Sasa utaona kabla ya hii technologia mpya ya kisasa watu wa zamani walitumia njia hii ya mzunguko wa Mwezi katika kuweka kumbukumbu zao. Sasa utaona sherehe zote za kiislamu zimewekwa kufatana na mwandamo wa mwezi.
2. Waislam wanatofautiana katika mwandamo wa mwezi kutokana na tafsiri halisi ya mapokeo ya hadithi mbalimbali zilizotokana na wale waliofanya jitihada katika kuzitafsiri hizo hadithi.
Mfano wa mfungo wa mwezi wa ramadhani. Hadithi imesema mfunge pale mtakapo uona mwezi. lakini hadithi hii haikueka mipaka kuwa popote ukionekana tufunge au sehemu fulani wakiona tufunge.
Sasa waliofanya jitihada katika kuelewa hili wamebainisha wazi na matokea yake kuna MWEZI A KIMATAIFA na MWEZI WA ZONE. anaofata mwezi wa kimataifa watafunga pale sehemu yoyote ukionekana mwezi wanafunga. Na wale wa mwezi wa zone watafunga pale ambapo nchi wanazoshirikiana nao kuona mwezi ukionekana wanafunga.
Kifupi hiyo ni tofauti ya ueleo wa hadithi lakini zote ni sawa.
Huko kutofautiana kupo Dunia nzima. lakini nchi nyingi sana zina mamlaka maalum za kutangaza mwandamo wa mwezi .
nafikiri nimejitahidi kukujibu.
Dr Hamza