Nimeona ninyoshe mikono

Nimeona ninyoshe mikono

Kwani yeye hajui kutofautisha tikiti maji na mkorosho? Na hauwezi kumuonea wivu anaelima tikiti wakati unasubiria korosho.
If only kama amepa mkorosho
kama ni matikiti maje je?
that means kuna watu wanavuna every 60 days....
huku yeye bado anasubiri lol
 
Simple test. Mpotezee. Acha kumtafuta daily na siku akikutafuta na wewe leta nyodo kiduchu then umuambie nimekipa space ujifikirie kama unanihitaji ama la. Ukiona hajakusaka kwa nguvu ujue sio wako huyo. Rudi uanzishe thread tukutafutie boonge la magumashi humu.
we acha tu,mwenyewe niliweka mipango ndio wife to be! ila ananichosha kwa kweli saiz nipo njia panda
 
hapo kuna msela anamega kiaina.!two years hudhani kuwa kuna mshikaji anakula kiulaini hapo.au Unaonaje mkuu
 
Simple test. Mpotezee. Acha kumtafuta daily na siku akikutafuta na wewe leta nyodo kiduchu then umuambie nimekipa space ujifikirie kama unanihitaji ama la. Ukiona hajakusaka kwa nguvu ujue sio wako huyo. Rudi uanzishe thread tukutafutie boonge la magumashi humu.

thanx nitalifanyia kazi
 
achana naye huyo, demu ukishamzoea na kumsoma usoni haichukui muda kujua anakupenda, sasa huyo 2 yrs!!!

hata kama akikukubali baadaye itakuwa sio ni kwasababu anakupenda, ni itakuwa ni sababu atakuwa anakuhurumia kwamba umemtesekea sana, hivyo ataona bora tu akukubali kwa kukuonea huruma.

nikiwa nae anaonyesha kama ananimaind na kunijali
 
aiseh kwa style hiyo ningekuwa mimi ningekuwa nimeshakutimua siku nyiiiingi,labda umekuwa comedian wake ndo maana anakuenjoy na ww umo tu.
 
He he, I have changed.

Kakashemeji is back 🙂, usimwambie mateka.

You are too much of a gumashi wewe. Utamuua mtoto wa watu kwa presha. Size yako kina matek, cheni bandia na pesa bandis, hata tbs wanaruhusu.
 
Back
Top Bottom