Nimeona ninyoshe mikono

Nimeona ninyoshe mikono

kweli mwenzetu una moyo,na jinsi walvo wengi huon kama umewabania hao wengine buure,au ndo hzo mara klara zinawapotosha?
 
Hujatuambia age lakini kama ni under 18 ni malaika zako wanakuepushia mgogoro na vijana wa saidi mwema. Vinginevyo unautafuta ubwana jela.... Maana utakua huko kwa muda mrefu sana...
 
Kutakuwa na sababu kama tatu kwa nn unatoswa 1.unatongoza kwa kutia huruma 2.pili unaonyesha midadi kwamba ukikapata lazima ukachane kwa mda uliopteza 3.we ---- huna sound pazia

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForu
 
Sepa zako tu unaweza spend muda mrefu kufukuzia, siku unakubaliwa unakuja realise ulikuwa unafukuzia mali mbovu.
kuna kabinti nimekafukuzia zaidi ya miaka 2, mpaka leo hajawahi kunipa jibu kama ananipenda ama hanipendi zaidi ya kuigiza tu tukiwa pamoja tunaongea. na kila nikijaribu kumchombeza kanakua kakali sana,mpaka nimeshindwa kukaelewa.
nishajaribu kumuuliza siku kama ananipenda au hanipendi anipe jibu moja nijue, akaishia kucheka na hakunipa jibu lolote.

sasa hii mara ya mwisho nimejaribu kumgusa bega wakati tunaongea amepaniki kinoma nikamuuliza tatizo ni nini?majibu yake kwa kweli mi sijayaelewa, kwani anasema kama ninataka kuongea naye niende siku nyingine yeye amechoka.kwa kweli nimeshindwa kumwelewa na nimechoka kuishi katika maisha ya dilema nikiwa siju msimamo wake kuhus mimi ni nini.
hivi kweli niendelee kusubiri maana nimeshachoka mwenzenu?
 
Hujatuambia age lakini kama ni under 18 ni malaika zako wanakuepushia mgogoro na vijana wa saidi mwema. Vinginevyo unautafuta ubwana jela.... Maana utakua huko kwa muda mrefu sana...

mi raia mwema bana! sifukuzii wanuka mkojo
 
kuna kabinti nimekafukuzia zaidi ya miaka 2, mpaka leo hajawahi kunipa jibu kama ananipenda ama hanipendi zaidi ya kuigiza tu tukiwa pamoja tunaongea. na kila nikijaribu kumchombeza kanakua kakali sana,mpaka nimeshindwa kukaelewa.
nishajaribu kumuuliza siku kama ananipenda au hanipendi anipe jibu moja nijue, akaishia kucheka na hakunipa jibu lolote.

sasa hii mara ya mwisho nimejaribu kumgusa bega wakati tunaongea amepaniki kinoma nikamuuliza tatizo ni nini?majibu yake kwa kweli mi sijayaelewa, kwani anasema kama ninataka kuongea naye niende siku nyingine yeye amechoka.kwa kweli nimeshindwa kumwelewa na nimechoka kuishi katika maisha ya dilema nikiwa siju msimamo wake kuhus mimi ni nini.
hivi kweli niendelee kusubiri maana nimeshachoka mwenzenu?

kwa kweli...jibu sahihi hili😀
 
Dem akijua unampenda atataka akuumize kchwa,cku zuga huna habar naye huone atakuuliza au akikasirika ujue anakupenda huyo ila na ye akipotezea hyo ujue maumiv kwako jombaa
 
Back
Top Bottom