Nimeona ninyoshe mikono

Nimeona ninyoshe mikono

daah huku si kujichimbiw kaburi mwenyewe....kama haipo haipo joh....
 
Bado anakupima, angalao mwaka wa 4 au wa 5 anaweza kukubali. we ongeza tu bidii. Hata siku akikuambia live kuwa hakutaki, wewe usichukulie siriazi, mara nyingine hawamaanishagi. weka tu juhudi, runners never quit mkuu.

Baadae ufahamu ukirudi vizuri utajicheka sana.
And quitters never win buddy!
 
Kwan unakasoro?unaamin yupo peke yake?ndan ya miaka hiyo miwil haujawah kumtongoza mtu mwingine?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom