Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Leo 12.01.2024 na mimi najiunga rasmi, dua zenu kuna wakati nilijaribugi nilikua nadindisha ovyo kama kijana aliye balehe kumbe ni mtu mzima, kuna li dada flani hivi limebinuka lilikua limenizoea kukutana nalo tu ile nimedinda likanishika uboo kilichofuata akaharibu challenge, nikaende nikamfukua kumbe na mwenyewe alikua na nyege. So na anza upya
 
Leo 12.01.2024 na mimi najiunga rasmi, dua zenu kuna wakati nilijaribugi nilikua nadindisha ovyo kama kijana aliye balehe kumbe ni mtu mzima, kuna li dada flani hivi limebinuka lilikua limenizoea kukutana nalo tu ile nimedinda likanishika uboo kilichofuata akaharibu challenge, nikaende nikamfukua kumbe na mwenyewe alikua na nyege. So na anza upya

Karibu, majaribu yapo yes.

Lakini hii challenge inakufungua kujua jinsi gani una nguvu za kuepa majaribu yaani inakufundisha Self Control & Self Discipline.

Unakumbuka kisa cha Yusuph na Potifa? Yusuph aliweza kushinda hilo jaribu lako akakataa katu katu kufanya ngono na mke wa malkia, hiyo ndio self control & discipline.

Sio kila kinachokuja au kujipitisha mbele yako ni halali yako, la hasha jifunze kujizuia esp sexual urges.

Utaweza hayo kwa kusoma, meditation na physical exercise kila siku.

Binadamu anakitu kinaitwa TRILOGY = MIND, BODY AND SOUL.

Reading rejuvinate your MIND

Meditation rejuvinate your SOUL

Physical exercise rejuvinate your BODY

Fuata hiyo formula, you will be puzzled by results.
 
Nina mwaka mmoja sijawahi onana na mwanamke kimwili nahisi kuwa mwenye nguvu muda wote pia ngozi yangu imekuwa safi na yenye kutoa unyevu fresh pia naweza kukumbuka vitu ata ambavyo nimefanya ndani ya wiki 2 zilizopita ikiwa nilipokuwa napiga nyeto nilikuwa sina kumbuku kumbu kwa kweli ....mi sikufanya kama challenge bali mi nilifanya kama suluhisho la kuacha PUNYETO
 
Nina mwaka mmoja sijawahi onana na mwanamke kimwili nahisi kuwa mwenye nguvu muda wote pia ngozi yangu imekuwa safi na yenye kutoa unyevu fresh pia naweza kukumbuka vitu ata ambavyo nimefanya ndani ya wiki 2 zilizopita ikiwa nilipokuwa napiga nyeto nilikuwa sina kumbuku kumbu kwa kweli ....mi sikufanya kama challenge bali mi nilifanya kama suluhisho la kuacha PUNYETO

Hongera sana Mkuu.

Hizo ndio hidden powers binadamu tunazo.
 
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.

NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani aidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hii challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.



Pia soma: Tulioshindwa kuhimili makali ya 'NoFab Challenge' tukutane hapa

I wish maaana nimekua kama teja
 
Nina mwaka mmoja sijawahi onana na mwanamke kimwili nahisi kuwa mwenye nguvu muda wote pia ngozi yangu imekuwa safi na yenye kutoa unyevu fresh pia naweza kukumbuka vitu ata ambavyo nimefanya ndani ya wiki 2 zilizopita ikiwa nilipokuwa napiga nyeto nilikuwa sina kumbuku kumbu kwa kweli ....mi sikufanya kama challenge bali mi nilifanya kama suluhisho la kuacha PUNYETO

 
Ile kitu ilifikia mahali nakosa confidence kabisa yani, siwezi kufanya eye contact na mtu, Yani mtu alimuona tu anajua sijiamini kabla ata ya kufungua mdomo, pesa Sikai nayo, Yani nikitaka kitu siwezi subiri, nataka hapo hapo. Yani nilijaribu zaidi ya mara 10 kuacha, nikishika simu tu kosa, pornhub, xvideos, zile za amateur homemade couples , aloo. Sijaamini nimetoboa mwaka mzima bila kupiga hiyo kitu. Japo urge inatokeaga, ata naweza kuingia kabisa kwenye pornsite, ila nashindwa kupiga kitu. Mapepo ya succubus na incubus ni hatari. Yanaleta mikosi asikwambie mtu.
Hizi sites kumbe zinabeba hayo mapepo eh ?!
 
超级截屏_20240207_125220.png

Nimeanza Leo na mimi. Mniombee wadau maana majaribu yasinikute.
 
Back
Top Bottom