Wanaofaulu hii challenge watauona ufalme wa mungu
Mind creation game.
You’re what you think.
Your inner thoughts reflect your outlook.
Learn to control your thoughts by meditation.
Wanaofaulu hii challenge watauona ufalme wa mungu
Leo 12.01.2024 na mimi najiunga rasmi, dua zenu kuna wakati nilijaribugi nilikua nadindisha ovyo kama kijana aliye balehe kumbe ni mtu mzima, kuna li dada flani hivi limebinuka lilikua limenizoea kukutana nalo tu ile nimedinda likanishika uboo kilichofuata akaharibu challenge, nikaende nikamfukua kumbe na mwenyewe alikua na nyege. So na anza upya
Vishwishi vingi kinouma 😂👐Na hzi mvua za Morogoro na kabaridi daahh ila wacha niendelee kukaza tu...
Punyeto sio natural. Ni pepo mbaya sana usiombe.Tafiti zinasema wasioshiriki wanakua na msongo wa mawazo na kutojiamini iweje wewe una furaha au unashindwa kutofautisha furaha na vingine
Nina mwaka mmoja sijawahi onana na mwanamke kimwili nahisi kuwa mwenye nguvu muda wote pia ngozi yangu imekuwa safi na yenye kutoa unyevu fresh pia naweza kukumbuka vitu ata ambavyo nimefanya ndani ya wiki 2 zilizopita ikiwa nilipokuwa napiga nyeto nilikuwa sina kumbuku kumbu kwa kweli ....mi sikufanya kama challenge bali mi nilifanya kama suluhisho la kuacha PUNYETO
Usije na habari za charles Darwin tuuNi mbaya angalau mara moja au mbili kwa mwezi niulizeni why
Lazima niseme ukweli mie nimewezwa nilijifanya kuwa no sex weh katoke kijamaa kalinifanya nyama saivi nimeona bora nizimie kwanza sijui kama nitaamkaUsije na habari za charles Darwin tuu
Hii benefits ni kwa upande wa kiume hasa maana huwa tunapoteza protein nyingi sana...Lazima niseme ukweli mie nimewezwa nilijifanya kuwa no sex weh katoke kijamaa kalinifanya nyama saivi nimeona bora nizimie kwanza sijui kama nitaamka
Aluta Continua
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.
NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani aidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.
Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.
Niombeeni wadau katika hii challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.
Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,
Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.
If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.
Pia soma: Tulioshindwa kuhimili makali ya 'NoFab Challenge' tukutane hapa
Acheni hizooo, sasa mnataka wanawake wale nini....!!
Wakale wapi...!!!
Halafu utamu wa Ke aukulenani....??!
Ngoja nikawasemee...
Nina mwaka mmoja sijawahi onana na mwanamke kimwili nahisi kuwa mwenye nguvu muda wote pia ngozi yangu imekuwa safi na yenye kutoa unyevu fresh pia naweza kukumbuka vitu ata ambavyo nimefanya ndani ya wiki 2 zilizopita ikiwa nilipokuwa napiga nyeto nilikuwa sina kumbuku kumbu kwa kweli ....mi sikufanya kama challenge bali mi nilifanya kama suluhisho la kuacha PUNYETO
This is real shit bro😅
Hizi sites kumbe zinabeba hayo mapepo eh ?!Ile kitu ilifikia mahali nakosa confidence kabisa yani, siwezi kufanya eye contact na mtu, Yani mtu alimuona tu anajua sijiamini kabla ata ya kufungua mdomo, pesa Sikai nayo, Yani nikitaka kitu siwezi subiri, nataka hapo hapo. Yani nilijaribu zaidi ya mara 10 kuacha, nikishika simu tu kosa, pornhub, xvideos, zile za amateur homemade couples , aloo. Sijaamini nimetoboa mwaka mzima bila kupiga hiyo kitu. Japo urge inatokeaga, ata naweza kuingia kabisa kwenye pornsite, ila nashindwa kupiga kitu. Mapepo ya succubus na incubus ni hatari. Yanaleta mikosi asikwambie mtu.