FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Kwenye red =Hata na sio "hta"
Kwenye bold =sanamu ya mzungu na sio "sanamu la mzungu", ni ndiye na sio "ndio".
Jifunze pia matumizi ya herufi kubwa na ndogo.
Unapo mshauri mwenzako na wewe jichunguze!!
Tofauti yako ni kuwa unaweka R kwenye L, mimi nilichokosea ni typo tu, Jee hilo lako ni typo pia? punguani wahed.