FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Amen.soon Yesu atakuokoa endelea kuichambua na utajazwa roho mtakatifu kwani naona anatenda kazi pamoja na wewe
Jee, unajuwa kuwa Waislaam tunafata mafundisho ya Yesu aleyhi salaam kuliko wajiitao Wakristo?