Nimeona nguvu ya uchawi na Mungu

Nimeona nguvu ya uchawi na Mungu

UGORO87

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2014
Posts
824
Reaction score
383
Wakuu kwa mara nyngi nilikuwa naamini uchawi km vitu vya nadharia ktk uwepo wake,japo naenda kanisani kusali imani yangu kwa MUNGU ilikuwa haipo kabisa naenda km wajibu niliyokuta na ustarabu niliyorithi kutoka kw wazazi wangu najamii iliyonizunguka.Hvi majuzi mtoto wangu alikuwa anaumwa mapele yaliyomtoka mwili mzma,nikampeleka hospital wakampa dawa,hakupata hata nafuu,chakushangaza kuna dada aliniambia hyo mtoto wako amelogwa,akasema kwakwetu iringa lazima uhangaike kw waganga cjui kwa kwenu huku,nikampuuza,hali ya mtoto ikazidi kuwa mbaya,nikamrudisha hospital akapata nafuu ikabidi nimwone mchungaji akaniambia mtoto wako amechezewa na wachawi,km huamini atapata unafuu lakini ugonjwa utamrudia,ikawa hvyo kweli.ndipo nilipomwomba amwombee,akamwombea,mtoto cku ya pili yake mapele yote yamekauka.MUNGU NI MKUU
 
Amen uendelee kuomba na kumshukuru Mungu
 
Wakuu kwa mara nyngi nilikuwa naamini uchawi km vitu vya nadharia ktk uwepo wake,japo naenda kanisani kusali imani yangu kwa MUNGU ilikuwa haipo kabisa naenda km wajibu niliyokuta na ustarabu niliyorithi kutoka kw wazazi wangu najamii iliyonizunguka.Hvi majuzi mtoto wangu alikuwa anaumwa mapele yaliyomtoka mwili mzma,nikampeleka hospital wakampa dawa,hakupata hata nafuu,chakushangaza kuna dada aliniambia hyo mtoto wako amelogwa,akasema kwakwetu iringa lazima uhangaike kw waganga cjui kwa kwenu huku,nikampuuza,hali ya mtoto ikazidi kuwa mbaya,nikamrudisha hospital akapata nafuu ikabidi nimwone mchungaji akaniambia mtoto wako amechezewa na wachawi,km huamini atapata unafuu lakini ugonjwa utamrudia,ikawa hvyo kweli.ndipo nilipomwomba amwombee,akamwombea,mtoto cku ya pili yake mapele yote yamekauka.MUNGU NI MKUU

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-biashara-na-uchumi/106954-biashara-ya-uchawi-tanzania.html
 
Mambo ya malezi ni changamoto sana.MUNGU asaidie
 
Mwambie huyo muombaji aniombee nipate hela kuanzia mil5000000 kesho.
 
Hujatuambia kama mtoto alisitisha dawa za Hospitali au la....

Umesema ulovyompeleka Hospitali kwa mara ya pili alianza kupata nafuu....Hujatuambia dawa (dozi ) alizopewa ni za muda gani..

Hujatuambia Diagnosis ya ugonjwa ni nini...!!!!

Nakushauri tuu kwamba kwa usalama wa huyo mwanao hakikisha anamaliza Dozi alizopewa Hospitali....Vinginevyo utakuja kusema huyo Mchungaji ni Feki...
 
Kama wanaweza kuwaombea waliorogwa wakapona kwanini wanashindwa kwenda Muhimbili kuwaombea wagonjwa waliorogwa na wasiorogwa wapone?

Wajinga ndio waliwao.

Quran ina inasema ktk sura ya pili "nyoyoni mwao kuna maradhi na mwenyezi huwazidishia maradhi na adhabu kubwa itakuwa juu yao" kwahiyo Faiza mtu akishaamini ujinga mungu pia humuelekeza huko huko kwenye ujinga wake!
 
Kama wanaweza kuwaombea waliorogwa wakapona kwanini wanashindwa kwenda Muhimbili kuwaombea wagonjwa waliorogwa na wasiorogwa wapone?

Wajinga ndio waliwao.

Huwezi kukurupuka kwenda kumwombea mtu kama mwenyewe ajakubali au kufungua ile mguvu ya Mungu iliyo ndani yake.Hata Yesu alikuwa anawauliza "nikusaidie nini"usipo sema anakuacha.Pia ndio maana watu wanaenda kusali unafikiri Mungu ajui shida yako?ILA mpaka ufunguke na kuomba au uombe uombewe.Mungu akusaidie upate hiyo mwema kwani dada huna lepe la Uungu la Upendo nani yako ILA Mungu akubariki
 
Kama wanaweza kuwaombea waliorogwa wakapona kwanini wanashindwa kwenda Muhimbili kuwaombea wagonjwa waliorogwa na wasiorogwa wapone?

Wajinga ndio waliwao.

Nadhani wivu ndio unaokusumbua,ulitaka usikie amenyweshwa kombe alilopewa na mfuasi wa marehemu mudi!
 
Huwezi kukurupuka kwenda kumwombea mtu kama mwenyewe ajakubali au kufungua ile mguvu ya Mungu iliyo ndani yake.Hata Yesu alikuwa anawauliza "nikusaidie nini"usipo sema anakuacha.Pia ndio maana watu wanaenda kusali unafikiri Mungu ajui shida yako?ILA mpaka ufunguke na kuomba au uombe uombewe.Mungu akusaidie upate hiyo mwema kwani dada huna lepe la Uungu la Upendo nani yako ILA Mungu akubariki

Nenda kawaulize wagonjwa kule Muhimbili "nikusaidie nini"? kinakushinda nini kuwauliza na kuwaombea wapone?

Nakumbuka Nyerere aliwapiga marufuku enzi zake, walikuja pale viwanja vya Mnazi Mmoja wakajidai eti wanaombea watu, Nyerere akawaambia nendeni Muhimbili na Ocean Road ndio kuna wagonjwa huko, sitaki muonekane viwanjani.

Hawakuonekana tena hawa wanaodanganya wajinga mpaka Nyerere alipong'atuka.

Unayajuwa hayo? au ulikuwa hujazaliwa?
 
asilimia kubwa ya watu wa jf wako against na habari za Mungu....najiuliza mengi sana, kwanini?

siyo JF tu hata mtaani tupo wengi sana, sema wengi hawawi wawazi sasa hapa sababu wameficha identity zao basi wanakuwa wawazi!!
 
Nenda kawaulize wagonjwa kule Muhimbili "nikusaidie nini"? kinakushinda nini kuwauliza na kuwaombea wapone?

Nakumbuka Nyerere aliwapiga marufuku enzi zake, walikuja pale viwanja vya Mnazi Mmoja wakajidai eti wanaombea watu, Nyerere akawaambia nendeni Muhimbili na Ocean Road ndio kuna wagonjwa huko, sitaki muonekane viwanjani.

Hawakuonekana tena hawa wanaodanganya wajinga mpaka Nyerere alipong'atuka.

Unayajuwa hayo? au ulikuwa hujazaliwa?

MUNGU akubariki kwa unachokiamini,kila mtu kipo anachokiamini cha muhimu ni kupendana na kuombeana
 
MUNGU akubariki kwa unachokiamini,kila mtu kipo anachokiamini cha muhimu ni kupendana na kuombeana

= hakubaliki.

Kumbe mtu wenyewe hta Kiswahili matatizo sijui, nikueleze vipi uweze kuelewa! Pole sana.

Nyie ndio wale mnaletewa sanamu la mzungu mnaambiwa huyu ndio mungu wenu muabuduni na nyie mmo tu.
 
= hakubaliki.

Kumbe mtu wenyewe hta Kiswahili matatizo sijui, nikueleze vipi uweze kuelewa! Pole sana.

Nyie ndio wale mnaletewa sanamu la mzungu mnaambiwa huyu ndio mungu wenu muabuduni na nyie mmo tu.

Kwenye red =Hata na sio "hta"
Kwenye bold =sanamu ya mzungu na sio "sanamu la mzungu", ni ndiye na sio "ndio".

Jifunze pia matumizi ya herufi kubwa na ndogo.
Kumbe mtu wenyewe hta Kiswahili matatizo sijui,
Unapo mshauri mwenzako na wewe jichunguze!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom