Nimeona leo Mzee Kikwete anamshangaa Rais Samia!

Nimeona leo Mzee Kikwete anamshangaa Rais Samia!

Kweli huyu mama atamuweza Lisu kweli hali mwamba na ubabe wake alifeli.
Alianza vizuri anamaliza vibaya mbinu hizi zilishapitwa na wakati huwezi wasilence watu kwa dictatorship hata kama anaingizwa chaka na wapinzani wake ye Hana macho.
Huyo anaekushauri vibaya si upige chini.
Atawapigaje chini wakati anaona ushauri wao unamsaidia kubaki madarakani?
 
Akili Za Kuambiwa Changanya Na Zako


Miye Sasa Nakwenda Zangu Msoga Nalala Usingizi Baridii
 
Kikwete ni kama anamshangaa leo Samia hasa aliposema Tanzania sio shamba la bibi!

Kikwete naona alikuwa anamshangaa Mama maana anajiuliza huyu Mama mpaka leo hajui kwamba Lissu hawezekani?

Lissu kawashinda Mkapa, Kikwete na Magufuli huyu Mama na Polisi mchara machawa hawatamweza.

Lakini Kikwete hakuwa na matatizo ya utekaji kwa kiasi hiki, matatizo ya kutokupendwa kwa kiasi hiki na matatizo ya Haki na chaguzi kwa kiasi hiki.

Mitandao imefungua watu na Mama anafikiri kuna mipaka kama zamani! Huwezi kufanya ujinga ujinga kama zamani

Kikwete ni mnafiki sana kamuingiza kwenye haya matatizo halafu ana mwangalia kama kwa pembeni kama hamjui
Yuko ndani wewe unajisemesha haiwezekani?

Endeleeni kushangaa myashangazwa sana.
 
Umeshageuka Kikwete sasa. Ilimradi uoneshe unamchukia Rais.

Rais yupo sahihi, Tanzania sio uwanja wa kufanyia siasa maji taka za Kenya. Commercial activists kutoka Kenya hawataruhusiwa kufanya uhuni wao Tanzania.
Hapo ukiambiwa ueleze Wakenya walikuwa wanakuja kufanya siasa gani kwa kuhudhuria kwao mahakamani utabaki unarukaruka tu.
 
Hapo ukiambiwa ueleze Wakenya walikuwa wanakuja kufanya siasa gani kwa kuhudhuria kwao mahakamani utabaki unarukaruka tu.
Hawana pointi yoyote zaidi ya uchawa tu.

Jaji Munga alisema walipowauliza Askari Airport wamewakamata kwa sababu gani, Maafisa walijibu kuna changamoto tunasubiri maelekezo kutoka juu.
 
Hawana pointi yoyote zaidi ya uchawa tu.

Jaji Munga alisema walipowauliza Askari Airport wamewakamata kwa sababu gani, Maafisa walijibu kuna changamoto tunasubiri maelekezo kutoka juu.
Kwa hiyo kauli aliyotoa Mkuu jibu tosha
 
We nenda kaharishe huyo uvundo akili ikurudi. Kilichomfanya akimbie nchi tena kupitia ubalozi wa Ujerumani ni nini? We una udumavu wa akili.
Kwani yule jiwe yupo wapi? Hata sasa parapanda I karibu
 
Mitandao imefungua watu na Mama anafikiri kuna mipaka kama zamani!
Mitandao anaifahamu?
Alishasema mwenyewe kwa kinywa chake kuwa mjukuu wake ndiye operator wa simu yake
 
Kikwete ni kama anamshangaa leo Samia hasa aliposema Tanzania sio shamba la bibi!

Kikwete naona alikuwa anamshangaa Mama maana anajiuliza huyu Mama mpaka leo hajui kwamba Lissu hawezekani?

Lissu kawashinda Mkapa, Kikwete na Magufuli huyu Mama na Polisi mchara machawa hawatamweza.

Lakini Kikwete hakuwa na matatizo ya utekaji kwa kiasi hiki, matatizo ya kutokupendwa kwa kiasi hiki na matatizo ya Haki na chaguzi kwa kiasi hiki.

Mitandao imefungua watu na Mama anafikiri kuna mipaka kama zamani! Huwezi kufanya ujinga ujinga kama zamani

Kikwete ni mnafiki sana kamuingiza kwenye haya matatizo halafu ana mwangalia kama kwa pembeni kama hamjui
Huyo Kikwete ndio mshauri wake.

Hkuona alipokuwa anawashambulia kina Warioba mbeke ya maiti ya Msuya
 
Back
Top Bottom