Nimeona leo Mzee Kikwete anamshangaa Rais Samia!

Nimeona leo Mzee Kikwete anamshangaa Rais Samia!

Kikwete ni kama anamshangaa leo Samia hasa aliposema Tanzania sio shamba la bibi!

Kikwete naona alikuwa anamshangaa Mama maana anajiuliza huyu Mama mpaka leo hajui kwamba Lissu hawezekani?

Lissu kawashinda Mkapa, Kikwete na Magufuli huyu Mama na Polisi mchara machawa hawatamweza.

Lakini Kikwete hakuwa na matatizo ya utekaji kwa kiasi hiki, matatizo ya kutokupendwa kwa kiasi hiki na matatizo ya Haki na chaguzi kwa kiasi hiki.

Mitandao imefungua watu na Mama anafikiri kuna mipaka kama zamani! Huwezi kufanya ujinga ujinga kama zamani

Kikwete ni mnafiki sana kamuingiza kwenye haya matatizo halafu ana mwangalia kama kwa pembeni kama hamjui

Kikwete ndiye Muaasisi. Utekaji ulianza kipindi chake. Mara yangu ya kwanza kusikia msitu wa Mabwepande ilikuwa ni wakati wa Kikwete. Awamu zilizofuata baada yake zimezidisha tu.
 
Ngoja tusubirie maamuzi ya Mahakama ndio yenye mamlaka hayo
Hilo.ndio jambo la msingi.Ujue nyie Chadomo ni wajinga sana.

Upande wa mashtaka yaani Serikali ilitaka kesi isikilizwe kimtandao mawakili wenu wakapinga na wakaweka.zuio eti Kwa ujinga wenu kabla ya maamuzi ya Mahakama mkaenda kulazimisha.

Polisi ikawatandika virungu vya kutosha,nilicheka sana mwisho wa siku mahakama ikaamua in favor ya uande wenu.

Kwa nini Huwa hamtii sheria bila shuruti? 😆😆😆😆😆
 
Kikwete ni kama anamshangaa leo Samia hasa aliposema Tanzania sio shamba la bibi!

Kikwete naona alikuwa anamshangaa Mama maana anajiuliza huyu Mama mpaka leo hajui kwamba Lissu hawezekani?

Lissu kawashinda Mkapa, Kikwete na Magufuli huyu Mama na Polisi mchara machawa hawatamweza.

Lakini Kikwete hakuwa na matatizo ya utekaji kwa kiasi hiki, matatizo ya kutokupendwa kwa kiasi hiki na matatizo ya Haki na chaguzi kwa kiasi hiki.

Mitandao imefungua watu na Mama anafikiri kuna mipaka kama zamani! Huwezi kufanya ujinga ujinga kama zamani

Kikwete ni mnafiki sana kamuingiza kwenye haya matatizo halafu ana mwangalia kama kwa pembeni kama hamjui
Dunia inatushangaa kua inakuaje tunamshabikia mtu anae amani kwenye vurugu ,uasi na uhaini ili kufanikisha malengo yake ya kisiasa? KUNA MAAJABU KWELI
 
Back
Top Bottom