Nimeokota simu

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Sep 26, 2014
2,114
1,485
Habari zenu wana jamvi natumaini mnaendelea vyema na mihangaiko ya wiki,

Leo mnamo muda wa wa saa 12 jioni nikiwa home nikasema wacha nitoke kidogo niende bazizan nikashangae shange,
Nimefika pale nikaona hakuna la ziada nikaamua niondoke ile napanda kwenye pikipiki yangu kuna jamaa wawili tunafahamiana na wao walikuwa wana pikipiki aina ya boxer wakawa wanataka kuondoka wakaniambia oya bonge umedondosha simu yako ile kutupa jicho nikaiona nikaiokota nikaondoka mpaka nyumbani ile kuanza kukagua sms nikakuta sms ya M-PESA mwenye simu tarehe 9/05/ amefanya muamala wa kutoa 70000/= salio likiwa ni sh 291,000/=

Ile kufika muda wa saa 3 usiku jamaa akanipigia simu kwenye laini zake kuwa yupo Runzewe nikamwambia mimi nipo Ushirombo akasema atanipa 30000/= kama shukrani ya kumuokotea simu na kuonyesha uaminifu ,

Heti wakuu 30000/= itatosha kweli au nimwambie aongeze pesa walau 50000/= manake jamaa ana 291,000/= kwenye M-PESA.
 
Habari zenu wana jamvi natumaini mnaendelea vyema na mihangaiko ya wiki,

Leo mnamo muda wa wa saa 12 jioni nikiwa home nikasema wacha nitoke kidogo niende bazizan nikashangae shange,
Nimefika pale nikaona hakuna la ziada nikaamua niondoke ile napanda kwenye pikipiki yangu kuna jamaa wawili tunafahamiana na wao walikuwa wana pikipiki aina ya boxer wakawa wanataka kuondoka wakaniambia oya bonge umedondosha simu yako ile kutupa jicho nikaiona nikaiokota nikaondoka mpaka nyumbani ile kuanza kukagua sms nikakuta sms ya M-PESA mwenye simu tarehe 9/05/ amefanya muamala wa kutoa 70000/= salio likiwa ni sh 291,000/=

Ile kufika muda wa saa 3 usiku jamaa akanipigia simu kwenye laini zake kuwa yupo Runzewe nikamwambia mimi nipo Ushirombo akasema atanipa 30000/= kama shukrani ya kumuokotea simu na kuonyesha uaminifu ,

Heti wakuu 30000/= itatosha kweli au nimwambie aongeze pesa walau 50000/= manake jamaa ana 291,000/= kwenye M-PESA.
Acha uroho elfu 50 kwa kazi gan ulofanya... Koz kisheria ukiokota kitu peleka polis coz ukikamatwa nacho unajulikana n mwizi!!... Hata 30 kakupendelea ilibid asante tu inatosha
 
Watu wengi binaadamu wachache.

Vaa viatu vya muhusika,ungekuwa wewe...ungefanyaje???
Kwasababu hiyo ela Hata hauwezi kuitoa.

Ukiacha tamaa itakusaidia maishani mwako,siku zote za uhai wako.
Mkuu ila mi naona anipe hata elfu 50 tu manake alipoiangushia ni sehemu ambapo vijana wanachezea kamari so wangeinkota wao na lain wangekuwa washavunja kitambo sana.
 
Kumbuka Tamaa mbaya, uungwana ni vitendo ...... Rudisha simu ya watu maana mnara umeshasoma upo eneo gani chochote utakachofanya cha kiharifu kitakugharimu
 
Mkuu nimehairisha hyo line vunja tu hiyo simu uza unitumie héla kwenye namba 097400853774
 
Mkuuu naomba unileteee tu hiyo simu na 30 elf yako nitakupa na sitaongeza zaid ya hiyo maana imebidi nije ushirombo usiku huu ili kesho tuonane..nipo hapa musa lodge nasubiri pakuche tu
 
Habari zenu wana jamvi natumaini mnaendelea vyema na mihangaiko ya wiki,

Leo mnamo muda wa wa saa 12 jioni nikiwa home nikasema wacha nitoke kidogo niende bazizan nikashangae shange,
Nimefika pale nikaona hakuna la ziada nikaamua niondoke ile napanda kwenye pikipiki yangu kuna jamaa wawili tunafahamiana na wao walikuwa wana pikipiki aina ya boxer wakawa wanataka kuondoka wakaniambia oya bonge umedondosha simu yako ile kutupa jicho nikaiona nikaiokota nikaondoka mpaka nyumbani ile kuanza kukagua sms nikakuta sms ya M-PESA mwenye simu tarehe 9/05/ amefanya muamala wa kutoa 70000/= salio likiwa ni sh 291,000/=

Ile kufika muda wa saa 3 usiku jamaa akanipigia simu kwenye laini zake kuwa yupo Runzewe nikamwambia mimi nipo Ushirombo akasema atanipa 30000/= kama shukrani ya kumuokotea simu na kuonyesha uaminifu ,

Heti wakuu 30000/= itatosha kweli au nimwambie aongeze pesa walau 50000/= manake jamaa ana 291,000/= kwenye M-PESA.
Kuwa muangalifu,,utaibiwa sasa hivi
 
Mkuu ila mi naona anipe hata elfu 50 tu manake alipoiangushia ni sehemu ambapo vijana wanachezea kamari so wangeinkota wao na lain wangekuwa washavunja kitambo sana.
Inaelekea bado hujanielewa weye

[B ]watu wengi (wewe mmoja wapo) lakini binaadamu wachache(wewe si mmoja wapo) [/B]

Pengine nkikuambia hivyo unaweza elewa
 
Back
Top Bottom